Pages

Subscribe:

Ads 468x60px

Friday, 28 May 2010

SITOPATIKA KWA SIKU KADHAA!

Wapendwa sitakuwa hewani kwa siku tatu au nne hivi,hii ni kutokana niko katika harakati za kuhama,(namaanisha kuhama nyumba moja kwenda nyingine)kwa maana hiyo sitapata muda wa kupost. Naomba radhi kwa usumbufu wowote utakaojitokeza.
Hopeful my apology will be accepted,Wish you all lovely weekend and see you soon.

TAFAKARI YA IJUMAA NA WATOTO WA MITAANI!

Wakati kuna Watanzania wanatumia mamilion ya shilling kwa siku ,kuna watoto wa mitaani ambao hawana mahali pa kuishi,hawana chakula,hawasomi, hawana ulinzi,... kiujumla maisha wanayoishi ni ya hatari tupu.Wanaishi kwa neema ya Mungu tu.......Kwa kweli hali ya hawa watoto inasikitisha sana.Akiwa amepumzika baada ya kazi ngumu ya kuzunguka barabarani kutafuta riziki.
Wakitafakari jinsi ulimwengu unavyowatesa....Umri huo walitakiwa wawe shule lakini ndio hivyo tena........
Popote kambi ilimradi siku ziende.

Monday, 24 May 2010

THE JOKE OF THE DAY!

PRESIDENT KIBAKI is invited to tea with the Queen. He asks her what her leadership philosophy is. She says that it is to surround herself with intelligent people. He asks how she knows if they're intelligent.
"I do so by asking them the right questions," says the Queen.
"Allow me to demonstrate."
She phones Gordon Brown and says, "Mr. Prime Minister. Please answer this question: Your mother has a child, and your father has a child, and this child is not your brother or sister. Who is it?"
Gordon Brown responds, "It's me, ma'am."
"Correct. Thank you and good-bye, sir," says the Queen. She hangs up and says, "Did you get that, Mr. KIBAKI?"
"Yes ma'am. Thanks a lot. I'll definitely be using that!"

Upon returning to NAIROBI , he decides he'd better put the Prime Minister to the test. He summons AGWAMBO to STATE House and says:
"Bwana PM, I wonder if you can answer a question for me." "Why, of course, sir. What's on your mind?"
"Uh, your mother has a child, and your father has a child, and this child is not your brother or your sister. Who is it?"
AGWAMBO hems and haws and finally asks, "Can I think about it and get back to you?" KIBAKI agrees, and AGWAMBO leaves. He immediately calls a meeting of other senior CABINET MINISTERS, and they puzzle over the question for several hours, but nobody can come up with an answer.
Finally, in desperation, AGWAMBO calls ATWOLI, secretary general at COTU (Central Organization for Trade Unions in Kenya ) and explains his problem.
"Now look here Francis, your mother has a child, and your father has a child, and this child is not your brother, or your sister. Who is it?" ATWOLI answers immediately,
"It's me, of course, you dumb a**."
Much relieved, AGWAMBO rushes back to the STATE House and exclaims,” I know the answer, sir! I know who it is! It's FRANCIS ATWOLI!"
And KIBAKI replies in disgust, "PUMBAVU.., MAVI YA KUKU **, It's Gordon Brown!"

Friday, 21 May 2010

THANK GOD IT`S FRIDAYYYY!



ALLERGY NI NINI?


Kwa wale wenye matatizo ya ALLERGY kama mimi huenda wakawa wanajiuliza allergy ni nini? na husababishwa na nini? na je kuna dawa yoyote ya kuzuia? je allergy ni ugonjwa kama magonjwa mengine? na kila binadamu ana allergy?.
Kuna wengine wakikaa sehemu za vumbi watapiga chafya mpaka utaona huruma,wengine manyoa ya paka yakigusana na ngozi basi si kuwashwa huko,wengine perfumes na vingine vingi.Binafsi nikila samaki fulani mwili wote hutoka mapele ya ajabu ajabu,cha ajabu mpaka leo sijawahi kujua ni aina gani ya samaki nina allergy naye,hivyo nakula kila aina ya samaki mpaka nimpate huyo adui yangu.Sababu iliyonifanya niulize maswali yote haya ni juzi tu mimi na rafiki yangu tulienda mtembelea rafiki yetu, bahati mbaya ile nyumba wanapaka kama watatu hivi,basi jamaa kuona tu wale paka akatoka mbio huku akijikuna kuuliza akasema anaallergy na paka na hawezi kuingia tena nyumba ile...alitia huruma kwa kweli...hii ikanifanya nikumbuke matatizo yangu na samaki miaka michache ya nyuma.
Kwa wale wenye ufahahamu zaidi kuhusu allergy tafadhali tusaidie kujibu maswali hayo.

Wednesday, 19 May 2010

SHAA, SHOGA.


Nimependa hii video,watu waliohusikia na Shaa mwenyewe bila kusahau wimbo.
Great job Shaa.Kwa video zaidi za kibongo pitia www.djchoka.blogspot.com.

Watoto waunguzwa nyayo kukomesha kuzurura !

WATOTO wawili wakazi wa Mtaa wa Bangwe Manispaa ya Kigoma-Ujiji, mkoani Kigoma wamenusurika kifo baada ya mama yao mzazi kuwachoma moto katika nyayo za miguu kwa tuhuma za uzururaji.

Katika tukio hilo lililotokea Jumapili, mama aliyetambulika kwa jina la Fatuma Sambeki (25) aliwachoma moto nyayo watoto wake wawili akiwatuhumu kuzurura hadi usiku.

Watoto waliochomwa moto ni Ismail Swed (5) na Abedi Swed (3) ambao inadaiwa siku ya tukio walikwenda kutembea kwa bibi yao mzaa mama na kurejea saa mbili usiku nyumbani kwao.

Walipofika mama huyo aliwafokea kwa kitendo hicho, akawapiga na kuwachoma moto kwenye nyayo kwa kutumia banio la mkaa lililopashwa moto.

Bw. Kala Ntaruha shuhuda ambaye ni mjumbe wa Serikali ya Mtaa alisema kuwa baada ya kusikia kelele za watoto hao alifika kuona nini kinawasibu, ndipo alipokuta mtoto mmoja akiwa anaugulia maumivu ya madonda ya moto huo wakati mwenzake akiwa amefichwa chumbani na mama huyo.

Mjumbe huyo alisema kuwa baada ya kuona hali hiyo waliripoti katika Kituo cha Polisi mjini Kigoma na mtuhumiwa akatiwa mbaroni jana.

Akizungumzia tukio hilo mume wa mtuhumiwa, Bw. Swed Abed (32) alisema kuwa siku ya tukio alikuwa katika shughuli zake za uvuvi ndipo alipata habari za kitendo hicho.

Bw. Abed aliongeza kuwa mkewe amekuwa akifanya matukio mengi ya ajabu, yakiwamo ya kuwapiga watoto hao na aliwahi kuchoma moto nyumba yao kabla ya majirani kukusanyika na kufanikiwa kuuzima.

Alisema kuwa mkewe amekuwa na matatizo ya kuchanganyikiwa, hasa kwa wakati kama huu ambao ni mjamzito na mara nyingine matatizo hayo humfika mwisho wa mwezi.

Kamanda wa Polisi mkoani Kigoma, ACP George Mayunga alikiri kuwepo kwa hali hiyo na kuwa mtuhumiwa atafikishwa mahakamni wakati wowote mara baada ya upelelezi kukamilika.

Hili ni tukio la pili la ukatili dhidi ya watoto mkoani Kigoma, baada ya mama mmoja wilayani Kibondo kukamatwa kwa tuhuma za kumchinja mtoto wake aliyekuwa anasadikiwa kuwa mlemavu wa viungo na akili na kesi ipo mahakamani.
Chanzo gazeti la majira.

Monday, 17 May 2010

TUTAFIKA KWELI?


Hapo sio sokoni au stand ya bus...... bali ni Hospitali ya Mwananyamala wodi ya akina mama wakiwa wamelala mzungu wa nne .Just close your eyes for one minute and tell me What picture do you get when you look at this photo. Mimi picha ninayopata ni kwamba hao wakina mama na watoto wao wakitoka hapo kuelekea majumbani kwao kila mmoja ataondoka na gonjwa lake.
Jamani this is so sick hivi Serikali haina hata chembe ya huruma kwa wananchi wake?
Nawaza kwa sauti kama Mzee wa Changamoto awazavyo.

Friday, 14 May 2010

Sweden Stops Aid to Tanzania.

Sweden stops some of the aid to Tanzania. Payments of 135 million now frozen inside.
Tanzania has not managed to meet the conditions for including the fight against corruption, reform of the financial system and greater media freedom.

- We are giving less money to certain agreed performance have not been met by the Tanzanian government, "says Erik Korsgren who is head of Sida's assistance to Tanzania.

Sweden contributes each year with upwards of 450 million to Tanzania's budget to reduce poverty in the country. But 135 million of that sum is only paid in certain cases, requirements and conditions which now believes that the government of Tanzania did not.

- This is a program to strengthen the governance of public funds, corruption and media freedom, says Erik Korsgren.

It is not only Sweden has reduced aid to Tanzania, also the World Bank and other countries like Britain refunds due to shortcomings in the government's actions.
- Donors who feel it is well made an assessment that this is necessary at this time. While this affects such decisions surely the poor very hard in the short term, "says Ulrika Modéer, policy director of the aid organization Diakonia.
For those who are in Sweden can read in detail in DN news paper 14th may 2010.

Friday, 7 May 2010

DO YOU LIKE FISHING? I DO

Jamani i really like fishing,I h´ve tried so many times to catch a fish lakini holllaaa.
Kama wewe wajua mbinu za kukamata samaki tafadhali niambie,will appreciate.

Wednesday, 5 May 2010

Klabu za kucheka kuanzishwa Zimbabwe,


Wanawake wawili wana mpango wa kuanzisha klabu za kucheka Zimbabwe, nchi inayokabiliwa na changamoto kubwa za kiuchumi duniani.

Shilpa Shah na Celina Stockill wanaamini watasaidia watu kukabiliana na majaribu ya maisha ya Zimbabwe.

Hivi karibuni waliandaa warsha katika tamasha la kimataifa la sanaa mjini Harare, huku wakiwapa mafunzo ya kushawishi watu kucheka.

Bi Shah ambaye ni mkufunzi wa kucheka amesema, "Ukicheka-unabadilika; na wewe ukibadilika- dunia nayo hubadilika."

"Kwahiyo ni amani duniani, vicheko kwa Zimbabwe, kwahiyo tufurahishane na kueneza furaha."

Katika warsha zao, Bi Shah na Bi Stockhill hushawishi watu kushikana mikono, kila mmoja akiweka sura yake imchekeshe mwenziwe, na kulala sakafuni na kupiga miguu yao hewani.

Pia huwaambia wabirue mifuko yao ya susruali ambayo haina kitu na kila mmoja aanze kumcheka mwenziwe kwasbabu hana fedha, na kunyoosheana kidole huku wakichekana.

Mtu mmoja katika warsha hiyo amesema, “ Tunahitaji kucheka zaidi, hasa katika hali hii tuliyonayo Zimbabwe- ukiwa masikini, ni muhimu ujifunze kucheka.Mmmmmh hii nayo kali.

HAHAHAHAA TAZAMA HII CLIP,ORIGINAL COMEDY NA MWISHO WA DUNIA.

Monday, 3 May 2010

NJIA MPYA YA KUWAKOMESHA WEZI WA PASSWORD.

Hapa mtu huwezi jua key gani unatumia maana keybord imevalishwa nguo.
Hii ni kali maana anachokiandika anajua yeye tu kazi kwelikweli.
Hii ndio kiboko yao maana huwezi kuona wala kusoma anachoandika......Hahhahahaa.
Picha kwa hisani ya Mohammed Blog.

Saturday, 1 May 2010

HAPPY MAY DAY TO YOU ALL!

The Effects of Divorce on Children.


.
Ulishawahi fikiria madhara wayapatayo watoto pale wazazi wanapotengana? well,if not join me may be you will learn something.
Most divorcing parents are very concerned about their children’s
reactions to their separation and divorce. They want to know, “Will
my child grow up to be healthy and happy?”

Sociologists and psychologists are just beginning to provide reliable
information about the effects of divorce on children. There are a
number of important factors.
Research shows that the effects depend on the age of the child at the time of divorce.
It can also depend on the child’s gender and personality, the amount of conflict between parents and the support provided by friends and family.

AGE OF CHILDREN:
We know little about the effects of divorce on children younger than two or three years of age.

Young children do not always suffer if a divorce occurs. However, problems may occur if a close relationship or bond between a parent and child is broken.
Parents should agree on parenting and childcarearrangements so the child does not grow up experiencing conflict between his or her parents.

INFANTS:
Infants may not understand conflict, but may react to changes in parent’s energy level and mood. Infants may
loose their appetite or have an upset stomach and spit up more.

PRESCHOOL CHILDREN:
Children from three to five years of age frequently believe they have caused their parents’ divorce. For example,they might think that if they had eaten their dinner or done their chores when told to do so, Daddy wouldn’t have gone away.

Preschoolers may fear being left alone or abandoned altogether. They may show baby-like behavior, such as wanting their security blanket or old toys, or they begin wetting the bed. They may deny that
anything has changed, or they may become uncooperative, depressed, or angry. Although they want the security
of being near an adult, they may act disobedient and aggressive.

SCHOOL AGED -CHILDREN:
Some psychologists believe the adjustment to parental divorce is more difficult for elementary school children than for younger or older children. School-age children are old enough to understand that they are in pain because of their parents’ separation. They are too young, however, to understand or to control their reactions to this pain.

They may experience grief, embarrassment, resentment, divided loyalty and intense anger. Their ability to become actively involved in play and activities with other children may help them cope with their family life situation.

The Effects of Divorce on Children:
Children this age may hope parents will get back together. Elementary
aged children may feel rejected by the parent who left. They may complain
of headaches or stomachaches.

ADOLESCENTS:
Teens also experience anger, fear, loneliness, depression and guilt.
Some feel pushed into adulthood if they must take responsibility for
many new chores or care of siblings. Teens may respond to parents’
low energy level and high stress level by trying to take control over
the family. Others feel a loss of parental support in handling emerging
sexual feelings. Teens also may doubt their own ability to get married or to stay married.
Teens may understand the causes leading to their parents’ separation. Their ability to remember the conflict and stress of the divorce may interfere with their ability to cope with the changes in their family.
They may also feel pressure to “choose” one of their parents over the other, or to fault one parent over the other for the “cause” of the divorce.

GENDER EFFFECTS:
Researchers are now finding that boys raised by fathers and girls raised by mothers may do better than children raised by the parent of the opposite sex. School age boys living with their fathers or in joint living arrangements seem to be less aggressive. They also have fewer emotional problems than those boys who live with their mothers and have little or no contact with their fathers.
Girls raised with mothers tend to be more responsible and mature than girls raised by their fathers.
However, the children’s adjustment following a divorce has more to do with the quality of the parent-child relationship than with the gender and age of the child.