Pages

Subscribe:

Ads 468x60px

Tuesday, 29 May 2012

BRAND NEW VIDEO....SHETTA FT DIAMOND,NIDANGANYE


Nimependa maneno ya huu wimbo,kuna wakati unaweza ukaona ni kheri ukiambiwa uongo kuliko ukweli ilimradi tu usiiumize nafsi yako.Hili labda huwa linajitokeza sana ukiwa kwenye mahusiano ya kimapenzi,unaweza kusikia kuwa mpenzi wako ana mtu mwingine roho ikakuuma na kuamua kumuuliza mpenzi wako kwamba yanayosemwa ni kweli? Nadhani akijibu NDIO  moja kwa moja utaumia zaidi kuliko akikudanganya na story za sungura na fisi.Ila binafsi ningependa kuambiwa ukweli sababu najua nitaumia kwa muda then maumivu yataisha na maisha yatasonga mbele.

JOYCE KIRIA- KUTOKA U'HOSEGIRL MPAKA UTANGAZI

Na HERIETH MAKWETTA
'UGUMU wa Maisha ni Kipimo cha Akili'. Huu ni usemi uliozoeleka katika maisha ya kijamii hasa kwenye miaka ya sasa ambapo hali ya uchumi imekuwa ikizidi kuwa ngumu.
Katika ugumu wa maisha huo kuna walioshindwa kabisa kujikwamua hadi kukata tamaa. Lakini kuna ambao wameutumia ugumu huo kutafuta namna ya kujikomboa, ndiyo wanaozungumzia kwenye usemi huu.
Mmoja wa watu hao ni mtangazaji ambaye pia ni Mmiliki wa Local Media Entertainment, kampuni inayoendesha vipindi vya televisheni vya 'Wanawake Live' na 'Bongo Movie', vinavyorushwa na Kituo cha EATV, mwanadada Joyce Kiria.
Utumwa pasipo malipo sahihi na kutokuwa na uhuru wa maamuzi, vilikuwa sehemu ya maisha yake kwa muda mrefu. Ilikuwa ni baada ya kumaliza elimu yake ya msingi.
"Unajua natoka katika familia ya hali ya chini, hivyo nilipomaliza Darasa la Saba sikuwa na namna ya kuendelea na masomo," anasema.
"Nilianza kwa kufanya kazi za ndani za u-hausigeli, nilifanya kazi hii kwa miaka miwili. Sikuifurahia sana.
"Baadaye niliona nisonge mbele, niliiacha kazi hiyo na nikajiunga katika genge la mama ntilie, nilifanya kazi hapo kwa muda mpaka nilipoamua kuanza kuchoma chapati."
Hata hivyo anasema hakudumu na kazi hiyo kwani hakuwa akipatana na moto hivyo akatafuta kazi katika kiwanda cha mablanketi, Chang'ombe jijini Dar es Salaam.
"Nikafanya kazi kwa muda pale lakini baadaye nikapata nafasi ya kazi katika duka moja Kariakoo, jijini Dar es Salaam, hapo ilikuwa tayari imefikia mwaka 2000," anaongeza.
"Niliendelea na kazi yangu na baadaye nilipata mtaji wa kuniwezesha kufungua biashara yangu."
Anasema alianza biashara zake rasmi kwa kupigisha simu katika vibanda vidogo, mtaji ulikua na baadaye alifungua duka la vifaa vya shule na mapambo, lakini baadaye akairudia biashara ya nguo.
"Baada ya kufanikiwa kukuza mtaji wangu, niliingia tena katika biashara ya nguo, na nikaanza kununua nguo za jumla kutoka Dubai, Falme za Kiarabu," anasema.
"Siku moja nikaenda na kununua nguo mwenyewe huko Falme za Kiarabu. Nilirudi na kuona nguo hizo zimejaa sana Kariakoo na bei yake ipo chini, hapo ndipo mtaji wangu ukafa au kwa maneno mengine nifilisika."
Anasema baada ya kushindwa biashara akaamua kumwona, Amina Chifupa (sasa marehemu) ambaye alikuwa mteja wake wa nguo na kumweleza shida yake.
"Amina ambaye wakati huo alikuwa anafanya kazi redio ya Clouds akanishauri nianze utangazaji kwani aliona nina kipaji, hivyo nilianza kazi hiyo pale Clouds mwaka 2006. Mwaka 2008 nikaolewa," anasema.

KUVUNJIKA KWA NDOA YA AWALI
Joyce, ambaye sasa ni mke halali wa Henry Kilewo, ndoa yake ya kwanza ilikuwa mwaka 2008 alipooana na Nelson Joshua 'DJ Nelly'.
"Muda mfupi baada ya ndoa nikaanza kuonja machungu yake, niliishi maisha ambayo sikuchagua, hii ilikuwa ni baada ya kuolewa," anasema.
"Niliamua kuachana na mume, unajua ilifikia hatua nilihisi ningeweza hata kuwekewa sumu katika chakula, yalikuwa ni maisha ya chuki.
"Hapo ndipo ukawa mwanzo wa kuyajua mengi ambayo niliamua rasmi kuanza kuyafanyia kazi nikiwa kama mwanamke niliyejitolea kutetea haki za wanawake."
Anasema alianza kwa kudai talaka ambayo ilikuwa ngumu kutolewa kwani ndoa aliyofunga ilikuwa ni ya Kikristo.
"Nilifanikiwa kupewa talaka yangu na hapo ndipo ukawa mwanzo wa kuanzisha kipindi cha Wanawake Live nikiwa na dhamira ya kweli ya kutetea Haki za Wanawake.

WITO WAKE KWA JAMII
Joyce ambaye ni mwenyeji wa mkoa wa Kilimanjaro, anasema tatizo lililopo hapa nchini ni mfumo dume, ambao umekithiri.
"Mwanaume anasahau kutunza familia yake na kutokomea kusikojulikana, kwa sababu ya uchumi mdogo familia yake inaingia kwenye taabu, hali hii haivumiliki na ndiyo mwanzo wa kuvunjika kwa ndoa nyingi," anasema.
"Pia changamoto za kimaisha ni nyingi, wapo wanawake wenye kipato, lakini kutokana na mfumo dume wanalazimika kuacha kila kitu kikiwa chini ya waume zao ambao baadaye huwasaliti."
Anasema kupitia kazi yake ya sasa amepania kutoa elimu ya kutosha kwa jamii ili iachane na na mfumo huo kuweza kutoa haki sawa kwa wote.
Habari hii kwa hisani ya gazeti la Mwanaspot.

Monday, 21 May 2012

NI MIAKA 16 TANGU MELI YA MV BUKOBA IZAME.

MELI YA MV BUKOBA

Historia imewekwa leo na Flaviana Matata alipokabidhi msaada wa maboya (life vests) 500 kwa Shirika la Meli la Taifa (Marine Services Co Ltd) kama sehemu ya kumbukumbu ya MV Bukoba - ambapo ni miaka 16 tokea meli hiyo ilizame na kuua watu takriban 1,000 akiwa pamoja na mama yake Flaviana .





MUNGU AZIWEKE ROHO ZA MAREHEMU WOTE MAHALA PEMA PEPONI,NA PIA MUNGU AWAPE NGUVU WOTE AMBAO WALIPOTEZA NDUGU ZAO KATIKA AJALI HIYO.

BEAUTIFUL ALICIA KEYS.

Mimi hapo sikioni tu...






Alicia and husband Swizz Beatz .


Thursday, 17 May 2012

GET WELL SOON MOM.

Kwanza poleni kwa kuwa kimya kwa siku kadhaa,ukweli ni kuwa mama yangu anaumwa alipata stroke wiki tatu zilizopita hivyo hata hamu ya kukaa na kuandika chochote ilipotea kabisa.
GET WELL SOON MY BEAUTIFUL MOM will see you soon.

POZI LA PICHA HILO.

Hili pozi limeniacha hoi lol...

R.I.P DONNER SUMMER.

 Donna Summer ,Queen of Disco,dead at 63 after secret cancer battle.

Family: Summer with her husband Bruce Sudano and their daughter Brooklyn in 2003. The couple also had another daughter together, Amanda. She had a daughter, Mimi, from a previous marriage

Monday, 7 May 2012

BIG BROTHER AFRICA 7 PARTICIPANTS FROM TANZANIA



Julio

 
Age 27
Hometown Tanzania
Occupation Manager
Biography
ulio is from Dar es Salaam and works as the Head of VAS, Electronic Channels and Products at a company in the telecommunications industry. With a BComm in Finance and an MBA under his belt, he looks set to be a wily player on Big Brother StarGame! He entered to be on the show because his best friend – Hilda – was the perfect example of the best candidate. Coupled with that, he saw himself as the most complete character because of how he lives his life as a hedonist
He says of his partner Hilda that she is “real and straightforward” and that he’s always comfortable when she’s around. He says that men adore her while women are always on his case. “She’s smart, very interesting – especially with how much she knows, Africa will love her to death,” he says. He’s a fan of the show and cites Kevin as his favourite Housemate, though he says “at the end of the day, he has nothing on what I’ll bring to the House”.
Julio describes himself as fun, crazy, smart, cunning and entertaining.



Age 28
Hometown Tanzania
Occupation Saleswoman
Biography
Hilda hails from Morogoro and is a saleswoman. She has a son and enjoys the novels of Sydney Sheldon and the book Memoirs of a Geisha. Hilda was inspired to enter Big Brother StarGame by Biggie himself! “He seems to be a big challenge in the House and so I thought it would be fun to join him this time around and give him a special challenge. I can’t wait…” she says. She’s excited by the partnering format of this year’s show as it will be filled with fun and entertainment – plus her partner Julio is her best friend. “He is charming, sweet and a very good listener, of course,” she says.
She says she will do whatever it takes to win the grand prize – including lying her way out of a tricky situation or “being the sweetest thing ever”. She knows that Africa will be talking about her as soon as they see her on screen – which makes her excited. She says if she wins, she will donate money to a charity she supports back home as a peer health educator to help them build a nice house

HAPO SASA!


ARM RECORDS.




ARM RECORDS ni studio iliyokuja kufanya mabadiliko ktk gem ya muziki wa kisasa  tunajishughulisha na uandaaji(production) wa nyimbo aina zote kasoro bolingo
tunapatika maeneo ya y/vituka tunatazamana na shule ya msingi y/vituka unakaribishwa sana ktk hizo picha huyo jamaa aliyeweka nywele breach ni kgt wa g2 na huyo mwingine ni kabo p ndie producer wetu hapa ni mie ndio manager wa studio muda si mrefu utasikia ngoma.
 
NIMETUMIWA NA ADAM MZEE.

Wednesday, 2 May 2012

Mmmmmmh!


LINAH in DOWNTOWN NYC - U.S TOUR


She performed several of her hits but at this point most wanted MDUARA.
Great people, great night and to my amazement I stayed low key this time.



Artist AJ Ubao and NY's own Dr. Ebra on stage showing love n support

When I say everyone I mean everyone had a crazy good time as we all aspired to stay up till dawn on this night to Welcome Linah to our city and temporary home (Bongo is #1)

PICHA NA MAELEZO NIMETUMIWA NA Growing Up African Blog.