Saturday, 31 December 2011
Tuesday, 27 December 2011
Little Girl Is Upset With The Way Toys Are Marketed...Check this out i bet you gonna love it.
“The companies that make them try to trick the girls into buying pink stuff instead of the stuff boys want to buy!
Heheee how lovely this little girl is...lOL Haka katoto kanavyojieleza vizuri utafikiri kako over 18.
Sunday, 25 December 2011
Wednesday, 21 December 2011
POLENI SANA WAKAZI WOTE WA JIJI LA DAR ES SALAAM KWA MAAFA MAKUBWA YA MVUA ZINAZOENDELEA.
Wakazi wa maeneo ya jangwani inasemekana ndio wameathirika zaidi..
Bara bara zimejaa maji madaraja nayo yamezuliwa na maji .
Maji yamezunguka nyumba.
Mvua zinazoendelea kwa sasa katika jiji la dar zimesababisha maafa makubwa kuna watu wamepoteza maisha,kuna waliopoteza mali zao zikiwemo nyumba na mali nyingine nyingi.
Mungu na awaepushe na balaa hili ili muweze kuumaliza mwaka 2011 vizuri.
Bara bara zimejaa maji madaraja nayo yamezuliwa na maji .
Maji yamezunguka nyumba.
Mvua zinazoendelea kwa sasa katika jiji la dar zimesababisha maafa makubwa kuna watu wamepoteza maisha,kuna waliopoteza mali zao zikiwemo nyumba na mali nyingine nyingi.
Mungu na awaepushe na balaa hili ili muweze kuumaliza mwaka 2011 vizuri.
Monday, 19 December 2011
Sunday, 18 December 2011
ASANTE SANA BABA NA MAMA.
Alianza huyu...
Waliona niko mpweke sina wa kucheza nae wakanionea huruma,mara huyu akatokea (Tabitha) wacha nifurahi nilipopata wa kucheza naye.

Baba naye akasema majike yametosha bwanaa! tutafute madume sasa,Mama akasema kweli mume wangu hawa nao wanahitaji kaka.Baada ya muda si mrefu akazaliwa Christopher.
Waliona niko mpweke sina wa kucheza nae wakanionea huruma,mara huyu akatokea (Tabitha) wacha nifurahi nilipopata wa kucheza naye.

Baba naye akasema majike yametosha bwanaa! tutafute madume sasa,Mama akasema kweli mume wangu hawa nao wanahitaji kaka.Baada ya muda si mrefu akazaliwa Christopher.
Christopher wacha naye aanze kulalamika eti oh mbona wakina dada wako wawili na mimi nataka mdogo wangu,baba na mama wakaona isiwe shida naye akaletewa wa kucheza naye (Jackson).Na mchezo ukaishia hapo.Wadada wawili na wakaka wawili.
Friday, 16 December 2011
TAKE ONE YA CLOUDS TV.
Wasikilize Wema na Irene wanavyowazungumzia wasichana wa Bongo Movie.
Video clips kwa hisani ya kajunason blog.
DHAMBI NYEPESI SEHEMU YA PILI....byThomas Jordan.
Alianza safari yake na kuelekea sehemu asiyoijua huku akijipa matumaini kuwa atafanikiwa.
Ni asubuhi imepita sasa ni mchana denis yupo msituni pori la kutisha huku zikisikika sauti za ndege, sasa denis amechoka sana anaamua mchana huo bora apumzike, kwakua alizoea kuishi polini hivyo hakuweza kushinda na njaa kwani alitafuta kila aina ya matunda na kukaa chini huku akila matunda yake.
Alikaa pale kwa muda sana ilikuwa bado jioni bado kapumzika hatimae akapitiwa na usingizi, hakuweza kujizuia na sasa ni saa nne usiku bado kalala, saa sita usiku denis anashtuka, aliposhtuka alikuta kundi la watu wakiwa pembeni yake,denis alisema
“mnataka nini ondokeni kwangu”
Kimya kilizidi bila kujibiwa
“kwani ninyi ni akina nani? Bado hakujibiwa
“sasa usiku huu mnataka nini? Lakini ilisikika sauti ikisema
“tunataka kichwa chako”
Denis kusikia vile alishtuka sana na hakuwa na kingine zaidi ya kuokoa maisha yake ilimbidi akimbie, alikimbizana na wale watu kwa umbali mrefu sana na hata alipokaribiwa denis bila kujijua alijikuta ndani ya shimo refu huku juu likiwa limefunikwa na majani mengi yale ya kutanda,lakini walisikika wakisema wale watu mnaona uzembe tulioufanya.
Huu ni ujinga huku wakilisogelea lile shimo, denis alihofu sana kwani alijua uhai wake utaishia palepale kwa kuwa shimo lilizungukwa na majani mengi na ilikuwa ni usiku ilikuwa sio rahisi kujuwa shimo lile kulikuwa namtu walijuwa wameshamkosa na wakaondoka zao; denis ndani ya shimoalimshukuru Mungu.
“Nashukuru, eee…! Mungu nimeamini Mungu hamtupi mja wake”. Alivuta pumzi na kuishusha kwa kutetemeka, hii ni hofu aliyokuwa nayo kwani hakuamini kama amenusurika …….alisema tena,
“Kweli Mungu ashukuriwe”.
Hakuwa na jinsi ilimbidi afanye mbinu za kutoka humo shimoni, japo alihangaika sana lakini alifanikiwa na hakuweza kuendelea na safari yake huku njiani akiimba nyimbo ambazo alizipenda sana mama yake, wimbo ulisema;
“Bembea eee, bembea mtoto,
Bembea eee, bembea mtoto,
Nyamaza mwanangu kulia, bembea eee
Wanikumbusha ukiwa, bembea eee
Eee bembea mtoto …….
Sasa ni sa nane usiku bado yupo katika safari yake akijua wenda atafanikiwa, moyoni alijisemea,
“Hivi ni kweli nitafanikiwa kweli”,
“Eeh! Mungu naomba niokoe katika msitu huu”.
Kunyanyua shingo yake kwa mbali anaona mwanga pia alijiuliza “Kile ni nini?” aliendelea kusema;
“Au ndio wale watu walionifukuza kule wapo pale?”
“Hapana kwa kuwa kunakaribia kupambazuka ngoja nione kuna nini”.
Hivyo alilala palepale na ilikuwa ni sehemu ya mlima, hivyo ule mwanga aliuona kwa chini huku yeye akiwa juu ya huo mlima. Alilala pale kwa muda na hatimaye kunapambazuka huku akisikia kelele za watu, na hizi ni kelele za watoto bila shaka wanancheza huku watu wengine wakiendelea na majukumu yao.
Denisi anageuza shingo yake na kuilekeza upande huo, bila shaka denisi anafurahi sana kukiona kijiji kikubwa tena chenye watu wengi, kwa mbali anamuona mzee mmoja akivuta tumbaku na hapo denisi anapata akili na kujisemea,
“Ahsante mungu kwa kunifikisha hapa, naamini patanifaa, aliendelea tena kusema,
“Naamini eeh Mungu, nioneshe ndugu yangu”.
**********************************
Je Denis katika kijiji hicho atfanikiwa kumuona nduguye? Ungana nami simulizi ijayo yenye misukosuko zaidi.
DENIS ANAINGIA KIJIJINI.
Denis anaingia katika kijiji huku akiwa ni mtu mwenye furaha sana, kwani kunako kundi la watu alidhani angeweza kumpata dada yake, taratibu anamkaribia Yule mzee aliyemuona akiwa kule mlimani, anamkaribia na kumsalimia;
“ Shikamoo Mzee”, Denis alisalimu
“Marhaba” na ghafla Yule mzee akamkimbia, lakini denis alijisemea
“Ah! Kwani vipi! mbona ananikimbia”
Punde wakaja watu ni wanaume watatu na wanawake wawili, wakiwa wamevalia ngozi haya ni mavazi waliyoyazoea, walifika na kuweza kumkaribia Denis
“Mh! Hapana shaka hawa ni maaskari” nilijisemea kimoyomoyo na waliniuliza….
“Wewe ni nani na unataka nini?”
“Mimi naitwa Denis na sipo hapa kwa ubaya” alijibu na kusema tena
“Nimetokea mbali sana na ninaomba hifadhi yenu”
“sisi hatuwezi kukupa hifadhi labda twende kwa malkia wetu”, walimchukua na kumpeleka hadi kwa malkia wao.
“Jambo mkuu ee Malkia wetu mtukufu” walisalimu huku wakiinama
“Jambo, kwani kuna nini asubuhi yote hii?”
“Malkia wetu kuna mtu nimekuletea huyu mgeni katika himaya yako” …..
“Na isitoshe anaweza akatudhuru kwani hatumjui”
“Je mnaweza kunimbia mmemtoa wapi mtu huyu?”
“Ndiyo mkuu, kwani tumemkuta tayari ameshaingia kwenye himaya yako”. Bila kuchelewa malikia aliamua mtu huyo apewe adhabu.
“Hebu mpelekeni katika lile shimo humo ndimo yatakuwa maisha yake”
“Oh! Naomba mnisamehee mimi si mtu mbaya” aliongea denis
“Hebu tii amri, haya haraka twende” waliweza kumpeleka kunako lile shimo na kumtumbukiza humo, tena shimo refu na lenye kujaa uchafu yaani kila aina ya takataka.
“Oh! Sijui kama ndoto yanguitatimia” alijisemea Denis
Alikaa humo kwa muda wa siku nne bila kula chochote, kiufupi walishamsahau, lakini kuna mtu anasogea katika shimo lile ameshika kibatari na mfuko, huu ni mfuko wa ngozi ya ngomb’e anfika katika shimo lile na denis aliweza kusikia vishindo vile na kuinua shingo yake juukuangalia ni nani?
“kaka najua unanjaa sana hebu chukua chakula hiki
Ahsante sana dada ,kwani wewe ni nani? Denis aliuliza
“mapema sana kunijua lakini usijali”
“nashukuru sana”
Nilikula chakula kile kwani nilikua nina njaa kali sana na sikuamini kama ningeweza kupata chakula kile hakika nilishiba sana mpaka hatua ya kupata usingizi na kuweza kulala.
Ni siku nyingine nikiwa na siku tano ndani ya lile shimo kwa mbali nasikia vishindo vya watu vikikalibia lile shimo, niliinuka haraka kuufuata ule mfuko uliokuwa na chakula na kuwezakuuficha ………….
“habari zenu.’’niliwajulia hali
“sisi hatujambo, hujambo wewe mfu hai” huku wakicheka.
“Unaitwa na malkia wetu”
“Sawatunaweza kwenda”niliwajibu
Walimtoa ndani ya shimo na kumpeleka kwa mkuu wao.
Wakiwa kwa malkia ……..
“Hebu niambie umetokea wapi na unataka nini? Malkia aliuliza
“ki ukweli sijui nitokako na walaniendako”
“we ni mtu gani unaeishi bila kujua eneo lako unaloishi’’?
“mimi nimezaliwa polini nimekulia, polini na simjui ndugu hata mmoja”
“kwani wazazi wako wapowapi?
“ni marehemu”
“ndiyo malikia’’
“Sasa umekuwa ukiishi vipi huko porini?........
“na hadi kufikia hapa umejuaje?
“nimekuwa nikishindia matunda, na safari yangu imeku….imek” alinyamaza ghafla
“Mbona huendelei kuongea?
“hapana kuna kitu nimekumbuka”
“kitu? Ni kitu gani”
“ni maisha tu”
“mpumbavu kabisa ndiyo kinachokufanya unyamaze”
“nisamehe mkuu.’’
‘’Inavyoonyesha wewe unakiburi sana, hebu mpelekeni mahala pake”malikia alisema.
“ndiyo mkuu” Askari waliitikia.
Bila kuchelewa walifanya kama walivyoagizwa na malkia wao na kumpeleka kunako shimoni,Huko denis hakuwa na jinsi ya kufanyahivyo muda wote alikuwa mnyonge, na mwenye mawazo mengi
“hivi ni maisha gani haya” denis alijisemea…….
“denis, denis,’’ sauti ilisikika ikiita niya yule dada
“ Naam, oh! Ni wewe”
“Habari yako denis”Nzuri tu sijui wewe ni nani?”
“Jamani umeshanisahau”
“mh! Hapana”
“ila”
“sijakusahau, kwani tumekutana tu hapo nje”
“Hujakosea ni mimi kwani na jana nilikuletea chakula siunakumbuka’’?
“ubalikiwe sana sikujuwa kama ni wewe kwani ni wachache sana wenye moyo kama wako”
“usijali denis tutazidi kushirikiana”
“Nashukuru ila naomba nikuulize swali”
“swali gani tena hilo denis”
“Ni dogo tu ila laweza kuwa la maana”
“Haya nakusikiliza uliza”
“Jinalako ni nani?
“oh! Jamani denis ni hilo tu!”
“Ndiyo ni hilo tu, kwani ni swali jepesi?”
“Mmh! Mimi naitwa……Oh Denis walinzi wanakuja tutaongea siku nyingine”.
Ilibidi Yule dada akimbie, huku nyuma Denis akibakijilaumu ni kwanini akumuuliza tokea mapema.
“Doh! Kweli mimi ni mzembe, swali kama lile ningemuuliza mapema”. Alijisemea.
Basi aliishia kujilaumu nahuku muda ukizidi kwenda, hadi kiza kinapoingia Denis alijionani mtu mwenye furaha kwani ilimzidi pale alipozidi kukumbuka yale mazungumzo aliyokuwa akiyaongea na Yule dada.
Ni asubuhi imepita sasa ni mchana denis yupo msituni pori la kutisha huku zikisikika sauti za ndege, sasa denis amechoka sana anaamua mchana huo bora apumzike, kwakua alizoea kuishi polini hivyo hakuweza kushinda na njaa kwani alitafuta kila aina ya matunda na kukaa chini huku akila matunda yake.
Alikaa pale kwa muda sana ilikuwa bado jioni bado kapumzika hatimae akapitiwa na usingizi, hakuweza kujizuia na sasa ni saa nne usiku bado kalala, saa sita usiku denis anashtuka, aliposhtuka alikuta kundi la watu wakiwa pembeni yake,denis alisema
“mnataka nini ondokeni kwangu”
Kimya kilizidi bila kujibiwa
“kwani ninyi ni akina nani? Bado hakujibiwa
“sasa usiku huu mnataka nini? Lakini ilisikika sauti ikisema
“tunataka kichwa chako”
Denis kusikia vile alishtuka sana na hakuwa na kingine zaidi ya kuokoa maisha yake ilimbidi akimbie, alikimbizana na wale watu kwa umbali mrefu sana na hata alipokaribiwa denis bila kujijua alijikuta ndani ya shimo refu huku juu likiwa limefunikwa na majani mengi yale ya kutanda,lakini walisikika wakisema wale watu mnaona uzembe tulioufanya.
Huu ni ujinga huku wakilisogelea lile shimo, denis alihofu sana kwani alijua uhai wake utaishia palepale kwa kuwa shimo lilizungukwa na majani mengi na ilikuwa ni usiku ilikuwa sio rahisi kujuwa shimo lile kulikuwa namtu walijuwa wameshamkosa na wakaondoka zao; denis ndani ya shimoalimshukuru Mungu.
“Nashukuru, eee…! Mungu nimeamini Mungu hamtupi mja wake”. Alivuta pumzi na kuishusha kwa kutetemeka, hii ni hofu aliyokuwa nayo kwani hakuamini kama amenusurika …….alisema tena,
“Kweli Mungu ashukuriwe”.
Hakuwa na jinsi ilimbidi afanye mbinu za kutoka humo shimoni, japo alihangaika sana lakini alifanikiwa na hakuweza kuendelea na safari yake huku njiani akiimba nyimbo ambazo alizipenda sana mama yake, wimbo ulisema;
“Bembea eee, bembea mtoto,
Bembea eee, bembea mtoto,
Nyamaza mwanangu kulia, bembea eee
Wanikumbusha ukiwa, bembea eee
Eee bembea mtoto …….
Sasa ni sa nane usiku bado yupo katika safari yake akijua wenda atafanikiwa, moyoni alijisemea,
“Hivi ni kweli nitafanikiwa kweli”,
“Eeh! Mungu naomba niokoe katika msitu huu”.
Kunyanyua shingo yake kwa mbali anaona mwanga pia alijiuliza “Kile ni nini?” aliendelea kusema;
“Au ndio wale watu walionifukuza kule wapo pale?”
“Hapana kwa kuwa kunakaribia kupambazuka ngoja nione kuna nini”.
Hivyo alilala palepale na ilikuwa ni sehemu ya mlima, hivyo ule mwanga aliuona kwa chini huku yeye akiwa juu ya huo mlima. Alilala pale kwa muda na hatimaye kunapambazuka huku akisikia kelele za watu, na hizi ni kelele za watoto bila shaka wanancheza huku watu wengine wakiendelea na majukumu yao.
Denisi anageuza shingo yake na kuilekeza upande huo, bila shaka denisi anafurahi sana kukiona kijiji kikubwa tena chenye watu wengi, kwa mbali anamuona mzee mmoja akivuta tumbaku na hapo denisi anapata akili na kujisemea,
“Ahsante mungu kwa kunifikisha hapa, naamini patanifaa, aliendelea tena kusema,
“Naamini eeh Mungu, nioneshe ndugu yangu”.
**********************************
Je Denis katika kijiji hicho atfanikiwa kumuona nduguye? Ungana nami simulizi ijayo yenye misukosuko zaidi.
DENIS ANAINGIA KIJIJINI.
Denis anaingia katika kijiji huku akiwa ni mtu mwenye furaha sana, kwani kunako kundi la watu alidhani angeweza kumpata dada yake, taratibu anamkaribia Yule mzee aliyemuona akiwa kule mlimani, anamkaribia na kumsalimia;
“ Shikamoo Mzee”, Denis alisalimu
“Marhaba” na ghafla Yule mzee akamkimbia, lakini denis alijisemea
“Ah! Kwani vipi! mbona ananikimbia”
Punde wakaja watu ni wanaume watatu na wanawake wawili, wakiwa wamevalia ngozi haya ni mavazi waliyoyazoea, walifika na kuweza kumkaribia Denis
“Mh! Hapana shaka hawa ni maaskari” nilijisemea kimoyomoyo na waliniuliza….
“Wewe ni nani na unataka nini?”
“Mimi naitwa Denis na sipo hapa kwa ubaya” alijibu na kusema tena
“Nimetokea mbali sana na ninaomba hifadhi yenu”
“sisi hatuwezi kukupa hifadhi labda twende kwa malkia wetu”, walimchukua na kumpeleka hadi kwa malkia wao.
“Jambo mkuu ee Malkia wetu mtukufu” walisalimu huku wakiinama
“Jambo, kwani kuna nini asubuhi yote hii?”
“Malkia wetu kuna mtu nimekuletea huyu mgeni katika himaya yako” …..
“Na isitoshe anaweza akatudhuru kwani hatumjui”
“Je mnaweza kunimbia mmemtoa wapi mtu huyu?”
“Ndiyo mkuu, kwani tumemkuta tayari ameshaingia kwenye himaya yako”. Bila kuchelewa malikia aliamua mtu huyo apewe adhabu.
“Hebu mpelekeni katika lile shimo humo ndimo yatakuwa maisha yake”
“Oh! Naomba mnisamehee mimi si mtu mbaya” aliongea denis
“Hebu tii amri, haya haraka twende” waliweza kumpeleka kunako lile shimo na kumtumbukiza humo, tena shimo refu na lenye kujaa uchafu yaani kila aina ya takataka.
“Oh! Sijui kama ndoto yanguitatimia” alijisemea Denis
Alikaa humo kwa muda wa siku nne bila kula chochote, kiufupi walishamsahau, lakini kuna mtu anasogea katika shimo lile ameshika kibatari na mfuko, huu ni mfuko wa ngozi ya ngomb’e anfika katika shimo lile na denis aliweza kusikia vishindo vile na kuinua shingo yake juukuangalia ni nani?
“kaka najua unanjaa sana hebu chukua chakula hiki
Ahsante sana dada ,kwani wewe ni nani? Denis aliuliza
“mapema sana kunijua lakini usijali”
“nashukuru sana”
Nilikula chakula kile kwani nilikua nina njaa kali sana na sikuamini kama ningeweza kupata chakula kile hakika nilishiba sana mpaka hatua ya kupata usingizi na kuweza kulala.
Ni siku nyingine nikiwa na siku tano ndani ya lile shimo kwa mbali nasikia vishindo vya watu vikikalibia lile shimo, niliinuka haraka kuufuata ule mfuko uliokuwa na chakula na kuwezakuuficha ………….
“habari zenu.’’niliwajulia hali
“sisi hatujambo, hujambo wewe mfu hai” huku wakicheka.
“Unaitwa na malkia wetu”
“Sawatunaweza kwenda”niliwajibu
Walimtoa ndani ya shimo na kumpeleka kwa mkuu wao.
Wakiwa kwa malkia ……..
“Hebu niambie umetokea wapi na unataka nini? Malkia aliuliza
“ki ukweli sijui nitokako na walaniendako”
“we ni mtu gani unaeishi bila kujua eneo lako unaloishi’’?
“mimi nimezaliwa polini nimekulia, polini na simjui ndugu hata mmoja”
“kwani wazazi wako wapowapi?
“ni marehemu”
“ndiyo malikia’’
“Sasa umekuwa ukiishi vipi huko porini?........
“na hadi kufikia hapa umejuaje?
“nimekuwa nikishindia matunda, na safari yangu imeku….imek” alinyamaza ghafla
“Mbona huendelei kuongea?
“hapana kuna kitu nimekumbuka”
“kitu? Ni kitu gani”
“ni maisha tu”
“mpumbavu kabisa ndiyo kinachokufanya unyamaze”
“nisamehe mkuu.’’
‘’Inavyoonyesha wewe unakiburi sana, hebu mpelekeni mahala pake”malikia alisema.
“ndiyo mkuu” Askari waliitikia.
Bila kuchelewa walifanya kama walivyoagizwa na malkia wao na kumpeleka kunako shimoni,Huko denis hakuwa na jinsi ya kufanyahivyo muda wote alikuwa mnyonge, na mwenye mawazo mengi
“hivi ni maisha gani haya” denis alijisemea…….
“denis, denis,’’ sauti ilisikika ikiita niya yule dada
“ Naam, oh! Ni wewe”
“Habari yako denis”Nzuri tu sijui wewe ni nani?”
“Jamani umeshanisahau”
“mh! Hapana”
“ila”
“sijakusahau, kwani tumekutana tu hapo nje”
“Hujakosea ni mimi kwani na jana nilikuletea chakula siunakumbuka’’?
“ubalikiwe sana sikujuwa kama ni wewe kwani ni wachache sana wenye moyo kama wako”
“usijali denis tutazidi kushirikiana”
“Nashukuru ila naomba nikuulize swali”
“swali gani tena hilo denis”
“Ni dogo tu ila laweza kuwa la maana”
“Haya nakusikiliza uliza”
“Jinalako ni nani?
“oh! Jamani denis ni hilo tu!”
“Ndiyo ni hilo tu, kwani ni swali jepesi?”
“Mmh! Mimi naitwa……Oh Denis walinzi wanakuja tutaongea siku nyingine”.
Ilibidi Yule dada akimbie, huku nyuma Denis akibakijilaumu ni kwanini akumuuliza tokea mapema.
“Doh! Kweli mimi ni mzembe, swali kama lile ningemuuliza mapema”. Alijisemea.
Basi aliishia kujilaumu nahuku muda ukizidi kwenda, hadi kiza kinapoingia Denis alijionani mtu mwenye furaha kwani ilimzidi pale alipozidi kukumbuka yale mazungumzo aliyokuwa akiyaongea na Yule dada.
Monday, 12 December 2011
stella mwangi ft mohombi...Hula Hoop!
.
Remember her from EUROVISION? she is really doing a great job right now.
Remember her from EUROVISION? she is really doing a great job right now.
DHAMBI NYEPESI .
KATIKA ULIMWENGU HUU KILA MMOJA WETU AMEBARIKIWA KUWA NA VIPAJI VYA AINA TOFAUTI TOFAUTI,....ILA LICHA YA KUWA NA VIPAJI HIVYO SI WOTE WENYE UJASIRI WA KUSIMAMA NA KUONYESHA VIPAJI VYAO KWA JAMII INAYOWAZUNGUKA...SABABU HUWA NI NYINGI...
ANYWAYS, NIMETUMIWA HII HADITHI NA KIJANA MDOGO HUYO HAPO JUU (THOMAS JORDAN 0652396812),LENGO LIKIWA NI KUJIFUNZA KWA NJIA YA KUKOSELEWA PALE ATAKAPOKUWA AMEKOSEA KATIKA SAFARI YAKE YA UANDISHI.
NITAKUWA NAWARUSHIA KILA BAADA YA SIKU MOJA MPAKA ITAKAPOISHA...UNGANA NAYE ILI KUJUA ANAZUNGUMZIA NINI KATIKA HADITHI YAKE YA DHAMBI NYEPESI.
##### #####
Ni maisha ya kusikitisha sana hasa ukiangalia kwa maisha yetu ya kitanzania wengi wao tunakutana nao haya ni maisha ambayo alikutana nayo kijana mmoja anaeitwa denis na alijitoa mhanga kwa kila kitu kufanikisha maisha yake yanawekwa mahali pazuri.
Denis ni kijana mwenye umri wa miaka ishirini na moja na katika maisha yake yote hajawahi kugusa darasa hata moja lakini kwa misukosuko aliyokutana nayo na jinsi alivyoitatua ni kama mtu aliesoma kwani alijiamini kwa kila jambo
Je ni mikasa gani aliyokutana nayo?.......... fuatilia simulizi hii.
Saa kumi na mbili asubuhi jogoo anawika kuashilia kumekucha denis anaomba toka kitandani huku akijinyoosha viungo vyake vya mwili na kuelekea upande wa pili ambako dirisha lake lipo, analifungua na kumuona mama yake akifagia uwanja …………….,
“mama shikamoo”
“aah! Denis adabu gani,salamu dirishan?
Ilibidi atoke nje na kumkalibia mama yake.
“Shikamo mama”Denis alimsalimia tena mama yake
“marahaba, siku nyingine usirudie tena hiyo tabia”,
Sawa mama naomba nisamehe ,
Baada ya salamu Denis alimuuliza mama yake kuhusu ahadi ambayo aliahidiwa na mamayake ,
“mama leo ni siku ambayo uliniahidi naamini utanitimizia”
“kuhusu nini? Mbona sikumbuki?
“kuhusu historia ya maisha yangu”
“ohoo…! Hivi ilikuwa ni leo eeeee”
“Ndiyo mama, kweli wewe ni msahaulifu”
“Nilishasahau nisamehe mwanangu lakini ngoja nikueleze”
Mama huku akikumbuka machozi yakaanza kumtoka,
“Mama mbona unalia? Ukilia wewe mimi nitakua matatani”
“ni kweli denis lakini inasikitisha” Basi mama jikaze nyamaza kulia huku akimfuta machozi:”
“Denis mwanangu maisha yako yalikua na vikwazo vingi sana na haya ndiyo maisha yako tokea utotoni hadi hapo ulipo”: Akaanza kumsimulia
Mimi mama yako nimeishia darasa la sita (6) ni baada ya kupata ujauzito wako lakini kabla ya hapo nili……….nili……, Denis alidakia”ulifanya nini mama mbona unabahatisha?
“Wala usijali tuachane na hilo hebu tuendelee”
Ndipo nilipofukuzwa shule na kurudi nyumbani wakati huo tulikuwa tukiishi na babu yako yaani baba yangu mimi, nilikaa na mimba ile hadi muda wa kujifungua ulipofika na hata baba yako sikumtaja sababu mila na destuli za hapo kijijini zilikuwa haziluhusu kufanya mambo kama hayo tungali bado wadogo kwani ningemtaja tu! basi angeuwawa,”kabla hajamaliza Denis alimuuliza mama yake, “kwa hiyo mama! Baba yuko wapi maana nimekuwa nikikuona wewe tu:”
“Bado sijamaliza, mama alimjibu denis
"OK mama basi tuendelee”.
Hivyo nilijifungua salama palepale kijijini ,babu yako ndiyo mlezi na ulipofikia umri wa mwaka mmoja hali yako ilidhoofika sana kwani mzimu ulisha jua hivyo uliumwa sana na hata usiku hukulala ilikua saa saba usiku ulizidiwa sana paka tukakatatamaa tulidhani asubuhi hautaiona, tulihisi ungefaliki, ndipo juhudi za kumtafuta mchungaji aje kukuombea tulizianza na tukafanikiwa kumpata na alifika na kufanya hivyo nashukuru Mungu ulipata nafuu.
Lakini kazi ya kwenda kwenye mzimu ilibaki palepale kwani tulisha jua kuwa tumekiuka mila na desturi kijijini hapo ilitupasatuelekee huko na mizimu ilitupokea na kutusamehe hapo ndipo ilipokuwa salama yako hivyo uliwezakupona kabisa na tulirudi nyumbani salama muda ulizidi kwenda baadae ilipokuja kugundulika kwa baba yako ndipo viongozi walimfukuza na kumtupia porini.
Sikuweza kumuacha kabisa ndipo tulipotoroka nae na ndiyo maana mpaka leo tupo porini lakini haikuishia hapo baba yako alipooza ghafla na alishindwa kufanya kazi hivyo nilikuwa na majukumu ya kuwalea wote wawili .
Ukiwa na miaka miwili (2) baba yako alitutoka hukuwa na ufahamu hivyo nililazimika kuwalea mwenyewe na kaburi unaloliona hapo hilo ndilo kaburi la baba yako, niliamua kumzika hapa hapa nyumbani.
Namuda wote huo tulikuwa tunashindia matunda ya porini hadi nilipopata akili ya kujiimalisha zaidi kimaisha mimi mwenyewe kwani tulikuwa tukiishi kwa kuhamahama hadi nilipomzika hapa basi na kibanda cha kuishi nikaamua kukijenga hapa hapa:”, kwa kifupi ni hayo tu mengine nitakuelezea siku nyingine nikipata muda kwa leo tuishie hapa.”
Aliishia hapo kumsimulia na akamuahidi siku nyingine ataendelea.
“Ahsante sana mama japo hujanimalizia”
“usijali kwani nimesha kuahidi.”
Basi waliendelea na shughuli zao huku Denis akichanja kuni na mama akiandaa chakula cha mchana. Walikuwa na desturi ya kula mara mbili tu, hii ni kutokana na uhaba wa chakula zaidi, walikuwa wakishindia matunda.
“Denis mwanangu njoo tule”
“Sawa mama namalizia kuchanja kuni”
Alimaliza na kupata chakula. Muda ulipita jioni inaingia hatimaye giza nalo linaingia hii ikiashiria kuwa usiku nao unaingia hivyo walianza kujiandaa na kuweza kulala kwani walichoka sana.
Ni usiku, Denis katika njozi anaota,kuwa kuna mzimu unamtokea na unamwambia kuwa aondoke eneo hilo na aende kusikojulikana alistuka toka usingizini.
“Oh! Mungu wangu ndoto gani hizi”moyoni alijisemea lakini kwa mbali alisikia sauti ya mama yake ikimuita.
“De…de…..denis mwanangu” ikionesha kuwa amezidiwa”
“Naam …mama” bila kuchelewa aliingia chumbani kwa mama yake na kukuta mama yake amezidiwa sana,
“Vipi mama” kwa mshangao!
“Denis mwanangu hata sijisikii vizuri”
“Kwanini mama, mbona ghafla hivyo?”
“Naona maisha yangu yapo mikononi mwa Mwenyezi Mungu hivyo sina budi kukuaga”.
“Hapana mama usitamke maneno hayo, yananiumiza sana”.
“Naomba unisikilize mwanangu japo ni dhambi kumficha mtu ukweli, lakini naamini kwa Mungu hii ni dhambi nyepesi, kabla sijakuzaa wewe alitangulia dada yako, na hivyo hatukuwa naye kwani alipotea kwa mazingira ya kutatanisha na sielewi yuko wapi”
“Kwahiyo mama mbona hukunieleza toka mwanzo”?
“Naomba unisamehe mwanangu najua kuwa nilifanya makosa”
Denis aliuliza, “inamaana haieleweki aliko na walahakurudi tena”?
“Ndio, na ……nanao ..”
“Mama, …! Mama, ……! Tafadhali usiniache” alisikika akisema denis.
“ Hali ni mbaya mwanangu naomba umtafute dada yako”
“Sasa mamanitamtafutia wapi, sisi tuko porini hivi hakuna hata nyumba”
Mama alisema, “fungua hiyo kanga na uchukue hilo karatasi”.
Denis bila kuchelewa alifanya hivyo.
“Ndiyo mama, hii hapa ninayo”.
“Hiyo karatasi ifungue” Denis bila kuchelewa alifungua.
“Mwanangu najua huwezi kusoma, lakini yaliyoandikwa humo ni majina ya baba yako na dada yako” aliendelea kusema …….
“Baba yako alikuwa akiitwa Daniel Malingumu na dada yako ni Pendo”
“Sa…sas..sasa mama mbona sijajua bado” denis alisema.
Mama huku akizidi kutetemeka na kurusharusha miguu.
“si…sin…sina cha kusema naona malaika wanakuja”akizidi kusema
“Dee…denis”huku akikohoa denis mwanamgu naomba mtafute dada yako”
“sawa mama nitafanya hivyo:” lakini sijui nitampataje kwani….”kabla hajamalizia kusema.
Mama…..!mama…..!” Denis aliiita kwasauti ya unyonge na baadae akagundua kuwa mama yake hayupo duniani alikuwa ameshafariki alilia sana denis na kuona kuwa ni mpweke hivyo hana msaada mwingine tena.
Yapata saa tisa usiku huku kukikaribia kukucha alianza maandalizi ya mazishi ilimbidi achimbe kaburi la kumhifadhi mama yake usiku huohuo nakubaki amekaa chini karibu na makaburi hayo mawili ya wazazi wake huku akizidi kulia kwa uchungu.
Sasa kunakaribia kupambazuka huku denis akikumbuka ile ndoto yake iliyomuamulu aondoke eneo hilo.,
“Mungu wangu naamini wewe ndiyo mwokozi wa maisha yangu”,
Alisikika denis akisema huku akiendelea,……..
“Nakukabidhi maisha yangu,kwani ndiyo nayaanza”
“Amen”
Friday, 9 December 2011
SIKU HAZIGANDI.
Miaka 8 iliyopita tulikuwa kama hivi,...Makongo High school hapo tulikuwa kidato cha sita.Hakuna shule ambayo nilisoma nikaenjoy kama makongo.Tuliishi kama Familia.Oooh Gosh i miss those beutiful days.
Miaka kadhaa baadae tukawa kama ifuatavyo,lol..miaka inakimbia eeeh! it feels like yesterday.
.
Edna na wake..
Neema na wake
Alice na Yona, hawa walisoma darasa moja.
Veronica naye na wake
Cecy na Suleiman hawa pia walikuwa darasa moja.
Ni wengi wameoa na kuolewa lakini bahati mbaya sina picha zao.
MAY OUR GOOD LORD BLESS YOU ALL....
Monday, 5 December 2011
MKASI WITH MASOUD KIPANYA.
Wiki hii kipindi cha Mkasi kilikuwa na Mchora Katuni maarufu na pia mtangazaji wa Times FM,Masoud Kipanya.Kama hukupata nafasi ya kukitazama kwa wale ambao wako Tanzania,basi usipitwe na uhondo huo.Kitazame hapo juu.
Swedish Inventions & 10 Greatest things from Sweden.
1. The pacemaker
In 1958, Rune Elmqvist developed a small battery-driven pacemaker. The first operation was carried out later that year, but the device only lasted for a few hours and further adjustments were made. The patient, Arne Larsson, survived the tests and lived until 2001.
2. The seat belt
Nils Bohlin’s great invention from 1959 is reputed to save one life every six minutes. It is thereby considered to be one of the most important safety innovations of all time.
3.The Global Positioning System.
Håkan Lans is the great mind behind important developments to the satellite-guided GPS system, moulding it into its modern form and ensuring that motorists reach their destinations on time and without hassle.
4. Tetra-Pak
Through the ideas of Erik Wallenberg and his dedicated team, the solution to packaging, storing and distributing liquids such as juice and dairy items was developed in 1951 and has since spread to fridges all over the world.
5. The telephone handset
As early as 1885, Lars Magnus Ericsson created the telephone handset, which was just one of his many improvements to contemporary telephones.
6. The flat screen monitor
The building of the flat-screen monitor was made possible by Sven Torbjörn Lagervall’s discovery of ferroelectric liquid crystals in 1979. The technology was developed and in 1994 mass production was begun.
7. The ultra sound
In 1950, Hellmuth Hertz started his pioneering work with ultrasound for medical diagnosis. Together with cardiologist Inge Edler the technique was successfully developed for the analysis of heart diseases.
8.The safety match
In 1844, Gustaf Erik Pasch patented the safety match when he replaced the poisonous yellow phosphorus with non-poisonous red phosphorus.
9. Dynamite
Alfred Nobel invented dynamite in 1866, which earned him one of the 355 patents he had managed to assemble before his death in 1896. Through his life he founded 90 companies and made a huge fortune. In his will he set up the Nobel Prizes for physics, chemistry, medicine, literature and peace.
10. The zipper.
The method still used today, based on interlocking teeth, was invented in 1913 by Gideon Sundbäck. Initially it was called the “hookless fastener” and was later redesigned to become more reliable.
In 1958, Rune Elmqvist developed a small battery-driven pacemaker. The first operation was carried out later that year, but the device only lasted for a few hours and further adjustments were made. The patient, Arne Larsson, survived the tests and lived until 2001.
2. The seat belt
Nils Bohlin’s great invention from 1959 is reputed to save one life every six minutes. It is thereby considered to be one of the most important safety innovations of all time.
3.The Global Positioning System.
Håkan Lans is the great mind behind important developments to the satellite-guided GPS system, moulding it into its modern form and ensuring that motorists reach their destinations on time and without hassle.
4. Tetra-Pak
Through the ideas of Erik Wallenberg and his dedicated team, the solution to packaging, storing and distributing liquids such as juice and dairy items was developed in 1951 and has since spread to fridges all over the world.
5. The telephone handset
As early as 1885, Lars Magnus Ericsson created the telephone handset, which was just one of his many improvements to contemporary telephones.
6. The flat screen monitor
The building of the flat-screen monitor was made possible by Sven Torbjörn Lagervall’s discovery of ferroelectric liquid crystals in 1979. The technology was developed and in 1994 mass production was begun.
7. The ultra sound
In 1950, Hellmuth Hertz started his pioneering work with ultrasound for medical diagnosis. Together with cardiologist Inge Edler the technique was successfully developed for the analysis of heart diseases.
8.The safety match
In 1844, Gustaf Erik Pasch patented the safety match when he replaced the poisonous yellow phosphorus with non-poisonous red phosphorus.
9. Dynamite
Alfred Nobel invented dynamite in 1866, which earned him one of the 355 patents he had managed to assemble before his death in 1896. Through his life he founded 90 companies and made a huge fortune. In his will he set up the Nobel Prizes for physics, chemistry, medicine, literature and peace.
10. The zipper.
The method still used today, based on interlocking teeth, was invented in 1913 by Gideon Sundbäck. Initially it was called the “hookless fastener” and was later redesigned to become more reliable.
Thursday, 1 December 2011
Tanzania Responsible Business Network.(TRBN)
1.Founding members of the Tanzania Responsible Business Network (TRBN) in a group photo soon after the official launch held at the Hyatt Regency, the Kilimanjaro on Monday 28th November 2011.
2.Paul R.K Mashauri, Chairman, EASB Group speaking at the official launch of the Tanzania Responsible Business Network (TRBN) held at the Hyatt Regency, the Kilimanjaro on Monday 28th November, 2011
3. Tom Kocsis, CEO, FINCA giving introductory remarks at the official launch of the Tanzania Responsible Business Network (TRBN) held at the Hyatt Regency, the Kilimanjaro on Monday 28th November 2011
4.Ali Mfuruki, CEO of Info Tech and Chairman of the CEO Round table delivering a keynote speech at the official launch of the Tanzania Responsible Business Network (TRBN) held at the Hyatt Regency, the Kilimanjaro on Monday 28th November 2011
5.A cross section of guests who attended the official launch of the Tanzania Responsible Business Network (TRBN) held at the Hyatt Regency, the Kilimanjaro on Monday 28th November 2011
6.A cross section of guests who attended the official launch of the Tanzania Responsible Business Network (TRBN) held at the Hyatt Regency, the Kilimanjaro on Monday 28th November 2011. On the front line is Marcus Huschka , Coastal Travels (first left), Pascal Lesoinne, CEO, Twiga Cement (at the middle) and Ali Mfuruki, CEO Info Tech and Chairman of CEO Round Table (first right)
7.Pascal Lesoinne, CEO of Twiga Cement sharing a Malawian experience in anti-corruption efforts by the private sector during the launch of the Tanzania Responsible Business Network (TRBN) held at the Hyatt Regency, Kilimanjaro on Monday 28th November 2011
Nimetumiwa na Adam Mzee wa blog ya Mkona Wangu.
Subscribe to:
Posts (Atom)





























