Pages

Subscribe:

Ads 468x60px

Sunday, 31 October 2010

MUNGU IBARIKI TANZANIA.

Ikiwa leo ni siku ya upigaji kura nchini Tanzania..... Watanzania wote popote pale ulimwenguni tuungane kwa pamoja tuliombee Taifa letu ili uchaguzi uwe wa amani,utulivu na haki.
GOD BLESS TANZANIA.

Thursday, 28 October 2010

HALI ILIKUWA HIVII…..!!!

KABLA YA NDOA KATI YA PATRICK NA JONESIA WALIOKUWA WANAISHI MBEZI AFRIKANA:

Patrick: Dahh! Afadhali nilichoka kusubiri sana

Jonesia: unataka niende zangu jamani?

Patrick: hapana nani alikwambia?

Jonesia: Je wanipenda kwa dhati?

Patrick: Ndio, nilikuwa na nitaendelea.

Jonesia: Umewahi kutoka nje ya mapenzi yetu?

Patrick: La hasha siwezi na ni kwanini unajaribu kuniuliza swali hilo?

Jonesia: Unaweza ni busu?

Patrick: Kila nafasi utakayo nipa.

Jonesia: utanipiga

Patrick: hee hapana wacha uchizi dear!

Jonesia: Naweza kukuamini?

Patrick: Ndio mpenzi

Jonesia: Patrick mpenzi wangu.

BAADA YA KUFUNGA NDOA SOMA KUANZIA CHINI KURUDI JUU.

Wednesday, 27 October 2010

THE PRAYING MAN .


A female CNN journalist heard about a very old Jewish
man who had been going to the Western Wall to pray, twice a day, every day, for a long, long time.So she went to the Western Wall to check it out and there he was, walking slowly up to the holy site. She watched him pray and after about 45 minutes, when he turned to leave, using a cane and moving very slowly, she approached him for an interview. '

Pardon me, sir, I'm Rebecca Smith from CNN. What's your name?

'Morris Fishbien,' he replied.

'Sir, how long have you been coming to the Western Wall and praying?'

'For about 60 years.'

'60 years! That's amazing! What do you pray for?'

'I pray for peace between the Christians, Jews and the Muslims 'I pray for all the wars and all the hatred to stop.'

'I pray for all our children to grow up safely, as responsible adults, and to love their fellow man.' '

How do you feel after doing this for 60 years?'


'Like I'm talking to a f**kin' wall.

Tuesday, 26 October 2010

JE NI MAPENZI AU UJAUZITO YAWEZA TUMIKA KUMTIA PINGU ZA MAISHA MWANAMUME……??



Ni kwanini tumekuwa tukiona akina dada wengi huwa na ujauzito wakati wakufunga ndoa?. Ambapo kidini ni makosa...
Hivi Ni ujauzito ndio huleta mapenzi au mapenzi huleta ujauzito ambapo jibu la hapo zao lake ndio huwa ndoa katika hali ya sasa.
Hapo zamani ilikuwa Mapenzi + Ndoa = Ujauzito lakini sasa mmmmmmmmmmh au ndio mambo ya shake before use?
Credit to MO blog.

Monday, 25 October 2010

USHABIKI HUANZA TOKA UTOTONI.

Mmmmmh hapa nahisi wazazi ndio mashabiki na sio hao watoto.....Lakini waswahili wanasema mtoto umleavyo ndivyo akuavyo....

Thursday, 21 October 2010

MASSAGE!!!

If you think massage is only for human being ,then you are totally wrong....Wanyama nao wanahitaji massage bwanaaa! kwani wao hawachoki?.... Ona huyo paka anayefanyiwa massage alivyotulia utafikiri ni Binadamu.......






ALICIA KEYS AND SWIZZ BEATZ SHOW OFF THEIR NEWBORN IN NEW YORK CITY..!!!

Here are the first pics of Alicia Keys and Swizz Beatz as proud parents! The happily married couple welcomed their first child together into the world just last Thursday (Oct 14), and they’re already showing off their new baby, who they named “Egypt Daoud Dean.”

Alicia and Swizzy took baby Egypt for his first check-up (Mon. Oct 18) in Manhattan, and while out and about, the pair showed off their newborn in his baby carrier. After paying a visit to the doctor, later in the day, the new family (along with Alicia’s mom) browsed around the Union Square Market where they purchased baby clothes at a craft stall











Tuesday, 19 October 2010

KISWAHILI!

Bango likiwa na ujumbe unaosomeka "SISI SOTE TUPIGANISHE UBAKAJI" Sina hakika kama neno TUPIGANISHE ni sahihi hapo, najaribu kujiuliza alikuwa anamaanisha awachukuwe wabakaji alafu awapiganishe au? Hapana bado haiingii akilini...Nafikiri angeweka neno TUPINGE labda lingeleta maana zaidi.

Monday, 18 October 2010

IS THIS TRUE??

Men discovered COLORS and invented PAINT,

Women discovered PAINT and invented MAKEUP.



Men discovered the WORD and invented CONVERSATION,

Women discovered CONVERSATION and invented GOSSIP.



Men discovered GAMBLING and invented CARDS,

Women discovered CARDS and invented WITCHERY.



Men discovered AGRICULTURE and invented FOOD,

Women discovered FOOD and invented DIET.



Men discovered FRIENDSHIP and invented LOVE,

Women discovered LOVE and invented MARRIAGE.




Men discovered TRADING and invented MONEY,

Women discovered MONEY and invented SHOPPING.



Thereafter Men have discovered and invented a lot of things…

While Women STUCK to shopping.

Sunday, 17 October 2010

ANIMAL PRINT LADIES!!

Edna a.k.a MIMI......
Nuru,mtembelee hapa. www.nurutheright.blogspot.com
Mdada nanihiiii......
We all wish you great weekend.......

Thursday, 14 October 2010

HAPPY BIRTHDAY STRIVE FOR LIFE.

Wakati Watanzania ulimwenguni kote tunakumbuka siku ambayo Baba wa Taifa Mwl Julias Kambarage Nyerere alitutoka…Mimi nasherehekea kuzaliwa kwa blog yangu ya STRIVE FOR LIFE.
Tarehe kama ya leo mwaka mmoja uliopita blog hii ilianzishwa rasmi.Siku zinakimbia jamani eti tayari ni mwaka mmoja mweee.
Nitakuwa ni mchoyo wa shukrani endapo sitawashukuru wasomaji wangu, maana nyinyi ndio mliofanikisha uwepo wa Blog hii.Waswahili wanasema shughuli ni watu na watu wenyewe ni nyinyi.
Shukrani za dhati zimuendee Adam wa blog ya MKONO WANGU BLOG yeye ndiye mtu wa kwanza kunikaribisha kupitia blog yake asante sana mkuu… MZEE WA CHANGAMOTO asante sana kaka
Kwani wewe ndiye uliyenifundisha jinsi ya kuweka Video hapa bloguni, baada ya kuhangaika kwa muda mrefu bila mafanikio, naheshimu na kuthamini mchango wako…DADA YASINTA wewe ndie mtu wa kwanza kucomment hapa …,nilifurahi sana siku uliyocomment i was like waooh kumbe kuna watu wanapita hapa?
SIMON KITURURU a.k.a Matakatifu hongera kwa kiswahili chako kilichowazi na staili ya uandishi wako, nikisomaga maneno yako mie hoi asante kwa kuonyesha upendo na ushirikiano kaka.
PROF MASANGU MATONDO heshima kwako na asante kwa kupita hapa mwabeja sana lol ..sijui nimepataia mwanawane?, CANDY 1 LITTLE WORLD, thanks lil sis for passing by.
KAKA CHIB wherever you are thanks for showing some love.
KAKA CHACHA WAMBURA comment zako zilizojaa utani huwa zinaniacha hoiiii asante sana pia kwa kupita hapa.
MIRAM3 hivi tule tustory unatutoaga wapi? maana tunavutia ile mbaya,asanate nawe kwa kukanyaga mahali hapa.
ADELA mdada.... asante na wewe kwa kupita mahali hapa.
PASSION4FASHIONTZ ,JOHN MWAIPOPO, EDWIN NDAKI, FADHY MTANGA, MUMYHERY,EVA JAMES, KAERO MKUNDIasanteni pia.
Natamani ningewaorodhesha wote hapa ila kwa kufanya hivyo itanichukua siku nzima.Samahani sana kwa wale ambao sikuwataja nawapenda wote..
THANK YOU ALL FOR MAKING IT HAPPEN.

Wednesday, 13 October 2010

MMMMH!

Mama kitambi baba kitambi lol ......lakini kimoja wapo ni cha faida na kingine ni cha hasara.

Tuesday, 12 October 2010

ME IN DIFFERENT POSES,

I have no idea what i was looking, kwikwikwi....

Hapa nilikuwa najikuna mara nikastukia kitu kimeshamulika hahaaa .....
Don`t touch my hair hahaaa.....Hii kazi ya kupiga picha imenifanya mpaka nikachelwa buss leo.

Monday, 11 October 2010

BINTI KAAMUA!


Rihanna katika muonekano tofauti kabisa na tulivyomzoea,sasa hivi kaamua mwendo ni magauni marefu na soksi....lol.

At last, a Nobel prize for the British scientist who invented IVF



The intensely modest ­British scientist who pioneered IVF has been honoured with a ‘long overdue’ Nobel prize for medicine.
Just seven years ago Robert Edwards joked that he wasn’t bothered about being overlooked for a knighthood, but a Nobel would be nice.
The 85-year-old was finally given the prestigious accolade for his achievements in fertility treatment which have brought the joy of parenthood to millions.
Professor Edwards, emeritus ­professor of human reproduction at Cambridge University, was heralded as the creator of modern reproductive medicine.
His work with gynaecologist and fellow Briton Dr Patrick Steptoe led to the birth in July 1978 of ­Louise Brown, the world’s first ‘test tube baby’.
Their research came against a backdrop of significant opposition from the medical and religious establishments.
They persevered, however, and in vitro fertilisation – whereby human eggs are fertilised outside the body and then implanted in the womb – has since resulted in 4.3million births worldwide.
The Nobel prize committee in Stockholm said Professor Edwards’s ‘achievements have made it possible to treat infertility, a medical condition afflicting a large proportion of humanity’.

Louise Brown, the world's first test tube baby in this photo dated July 25, 1978, soon after her birth at Oldham General Hospital in Manchester

Wednesday, 6 October 2010

UKITAKA KUWA RAIS LAZIMA UJUE KULISAKATA RUMBA!

Barak Obama......
George W Bush....

And Jakaya Kikwete.......Kura hazipatikani kiurahisirahisi tuuuu!! lazima utuonyeshe umahili wako katika kulisakata rumba ndio utapata kura zetu .


Monday, 4 October 2010

JAMANI HII NI ADHABU AU?

Watoto wa shule ya msingi wakiwa wamejitwisha mizigo ya kuni, wanakozipeleka mimi sijui....Sasa sijui ni adhabu au wanapeleka nyumbani na kama ni nyumbani wazazi wao wanafanya nini? Mimi nakumbuka nilivyokuwa darasa la tatu mpaka la tano nilikuwa nauza ubuyu wa mwalimu fulani hivi, na nikifanya kosa mwalimu huyohuyo alikuwa akinichapa na kunipa adhabu ya kumchotea maji ndoo tano nyumbani kwake. Nikikumbuka roho huwa inaniuma sana,huwa najiuliza kwanini nilikuwa nakubali kunyanyasika hivyo?
Anyway ilikuwa ni utoto na sikujua haki zangu kama mtoto.

KUPUNGUA UZITO KUNAVYOWEZA KUBADILISHA MUONEKANO WA MTU.

5O Cent now
50 Cent Before.
Omg !!! 50 Cent looks completely different, sikuweza mtambua. Anaonekana kama mgonjwa vile.....Anyway yeye anasema amepunguza uzito kwa lengo la kutengeneza movie...I hope he will go back to normal after the movie..... maana yake anasikitisha.

Friday, 1 October 2010

MACHO HAYANA PAZIA.


Jamani Beckham kasahau kama kaongozana na mkewe?au ndio macho hayana pazia? maana naona macho yote yapo kwa huyo bibie hapo mbele,na huyo mlimbwende naye naona kafanya makusudi kusimama ili kudraw attention ya Beckham lol....Victoria nahisi atakuwa anajisemea moyoni najuta kuongozana na wewe....

MASWALI YA UCHAGUZI WA MWAKA HUU.

Wandugu nimetumiwa maswali yafuatayo na jamaa yangu mmoja ili nimsaidie lakini binafsi yamenishinda, nadhani atakuwa kapewa asignment katika hii kozi fupi ya maandalizi ya uchaguzi. Plz mchango wenu utanisaidia kumjibu.

1. Ni rais gani duniani anayeamini kwamba kukaa madarakani miaka mitano ni kujifunza ili baadaye ukipewa fursa ya miaka mingine tena aweze kuwa mfanisi?

2.Rais wa kwanza Duniani kuwa na rekodi ya kuanguka anguka mbele ya kadamnasi ni.....

3.Ni Rais gani duniani anaye amini kwamba suala la urais ni la kifamilia zaidi na siyo la kitaifa?

4.Rais wa kwanza duniani kutamka hadharani kwamba hajui umaskini wa watu
wake unatokana na nini, ni................


5. Rais wa kwanza anaechukulia wingi wa magari kama kipimo cha maisha
bora! ni.............

6. Rais wa kwanza duniani anaepata ulinzi wa nguvu za Giza.(mnajimu) ni..........

7. Rais wa kwanza Duniani aliyesema watoto wadogo wa shule kupata mimba ni
kiherehere chao ni...........

8. Rais wa kwanza anayeogopa kuwaburuza mahakamani mafisadi ila ana uwezo mkubwa wa kumuwekea fitina mwizi wa mke wa mtu ni.........

9.Rais wa kwanza duniani aliyetumia 60% ya mabango yote ya biashara nchini
kwake kujinadi wakati wa kampeni ni..........

10. Ni Rais gani Duniani ambaye kwa mtazamo wake anahisi kafanya kazi kubwa nchini kwake kiasi cha kujisikia fahari kubwa kumuandaa mwanaye ili naye siku moja afuate nyayo zake...............

11. Rais wa kwanza Africa kudanganywa vibaya mno na wasaidizi wake ni........

12. Rais wa kwanza kusini mwa jangwa la sahara kufanya safari nyingi za nje ya nchi ndani ya mwaka mmoja tangu aingie madarakaini ni..............