Pages

Subscribe:

Ads 468x60px

Saturday, 29 January 2011

VUNJA MBAVU!


Jamani hii miito mingine kwenye simu inatuponza..!!! Jamaa mmoja alikuwa anapata kinywaji sehemu, akaenda msalani akaacha simu kwenye meza aliyokuwa amekaa.

Ghafla simu yake ikaanza kuita…..”NIBEEBE NIBEEBE NIBEMBELEZE UNIBEEBE… NICHUKUE UNIBEEBEE…” mtu mwingine akawa anapita kando ya meza hiyo akaisikia, akaibeba kweli….. nani wakulaumiwa…??? ha ha ha kibwagizo baada ya uchovu wakutwa nzima have a lovely weekend…..
Credit to Mohamed blog.

Thursday, 27 January 2011

WASICHANA WAWASULUBISHA WAVULA KWENYE MATOKEO YA KIDATO CHA NNE!

WASICHANA wameendelea kuonesha makali yao katika masomo dhidi ya
wavulana baada ya kushika nafasi nane bora kati ya 10 kitaifa kwenye matokeo ya mtihani wa kidato cha nne........

Kutokana na matokeo hayo, wanafunzi wawili walioongoza kitaifa walielezea furaha yao wakisema siri ya mafanikio yao ni kujituma wenyewe, juhudi za walimu wao, mazingira mazuri ya shule pamoja na msukumo wa wazazi wao.

Wa Kwanza: "Siamini kabisaa, ila Mungu alikuwa akiniona nikisoma kwa bidii. Nimepata nguvu kubwa ya kuendelea kusoma kidato cha tano na sita na chuo kikuu.
Matarajio yangu ni kuwa daktari," alisema kwa furaha Lucy light.

Wa Pili: "Siri ni ufuatiliaji wa karibu wa walimu na Meneja wa shule.
Pia kujituma mimi mwenyewe, mazingira mazuri ya shule na uhamasishaji wa wazazi wangu, lakini pia siwezi nikasahau msaada wa sala," alisema Maria-Dorin.

Binafsi huwa nafurahi sana ninaposikia mtoto wa kike anafanya vizuri iwe shuleni,kazini au kwenye ngazi yoyote ya utawala....
WANAWAKE OYEEEEEEEEEEEEEE!

Wednesday, 26 January 2011

MTANZANIA AFUNGWA MAISHA MAREKANI!!!!

Mfungwa wa kwanza katika jela ya Guantanamo kushtakiwa kwenye mahakama ya kiraia, Ahmed Ghailani kutoka Tanzania amehukumiwa kifungo cha maisha gerezani.

Hukumu hiyo ilitolewa na mahakama ya jimbo la Manhattan.

Ghailani alipatikana bila hatia mwaka jana, katika kesi ambayo alishtakiwa kwa mauaji pamoja na mashtaka mengine kuhusiana na mashambulizi ya kigaidi ya mwaka 1998 katika balozi za Marekani mjini Nairobi, Kenya na Dar es Salaam, Tanzania


Mchoro ukionyesha Mtanzania Ahmed Ghailani

Jopo la majaji hata hivyo limempata na hatia ya kufanya njama ya kuharibu majengo ya serikali.

Upande wa mashtaka ulijaribu kumshawishi jaji kwamba Ghailani alipaswa kuonewa huruma kwa sababu hakujua kuhusu njama hiyo.

Vile vile walisema kuwa Ghailani aliteswa na CIA baada ya kukamatwa.

Hata hivyo waendesha mashtaka walitaka apewe kifungo cha maisha gerezani huku wakisisitiza kuwa alijua kuhusu njama hiyo.

Akijiandaa kutoa hukumu yake, Lewis A. Kaplan alisema ilikuwa siku ya haki kwa jamii za watu 224 waliofariki kwenye mashambulizi ya bomu ya mwaka wa 1998 pamoja na wale wote waliojeruhiwa.

Kaplan alisema aliridhishwa na ushahidi aliopata kwamba Ghailani alijua kwamba watu wangekufa kutokana na vitendo vyake.

Ghailani alikamatwa nchini Pakistan mwaka 2004.

Alipelekwa kwenye kambi ya siri inayosimamiwa na shirika la Ujasusi la Marekani, CIA, kabla ya kupelekwa Guantanamo Bay, Cuba, mwaka 2006.

Baadaye alihamishwa hadi New York alikoshtakiwa.
Credit to BBC.

SPANKING NEW VIDEO!


Video mpya kutoka kwa wajanja wa manzese a.k.a TIP TOP CONNECTION.
Wimbo unaitwa GOMA LA MANZESE....Enjoy

Sunday, 23 January 2011

Tanzanite export ban dulls Jaipur's processors,

Tanzania's ban on export of tanzanite weighing over one gram has put scores of small and medium stone processing enterprises in the lurch, especially in Jaipur.
Tanzanite, a bluish gemstone, is said to be 1,000 times rarer than diamond.

Just as Surat is known for processing rough diamonds, Jaipur has gained proficiency in processing coloured gemstones including rough tanzanite over the past five decades. Of the 10 lakh people employed by the gemstone processing industry, about two lakh are in Jaipur and about 45,000 are specialised in finishing tanzanite.

Mr Rajiv Jain, Chairman, the Gem & Jewellery Export Promotion Council, said India exports cut-and-polished tanzanite worth Rs 300-350 crore an annum. The domestic market alone accounts for about Rs 100 crore.

“While cut-and-polished tanzanite is exported when it is ready, the industry has an inventory of about $2-3 million roughs, which would suffice for not more than 15 days,” he added.

A carat of cut-and-polished tanzanite, depending on quality and finish, costs between $10 (Rs 450) and $40 (Rs 1,800).
Reason for ban
India processes about 95 per cent of tanzanite produced in Tanzania, the only source for the gemstone. The ban, effective from January, was part of the Mining Act and is aimed at increasing the contribution of the industry to Tanzania's economy.
Mr Jain said the council plans to ask the Commerce and External Affairs Ministries to mediate on their behalf.

Tanzanite is mined at the foot of Mount Kilimanjaro, Africa's tallest peak. Tanzanite is noted for its remarkably strong trichroism, which appears alternately in sapphire blue, violet and burgundy depending on crystal orientation.
Phased manner
Though the industry understood the concern of the Tanzanian Government to improve job opportunities in their country, it should have curtailed exports in a phased manner to gain expertise in processing the roughs, Mr Jain felt.

Tanzanite mining provides direct employment for about 14,000 workers in Tanzania, Africa's third-largest gold producing State after South Africa and Ghana. About 42 per cent of Tanzanian exports come from minerals, mainly gold, diamonds and tanzanite.

Tanzanite in its rough state is usually reddish brown. It requires heat treatment to 600 degree Celsius in a gemological oven to bring out the blue violet character of the stone. Besides India, other countries that process tanzanite include Thailand and Hong Kong.

Saturday, 22 January 2011

INAKUWAJE TENA?


GARI la Naibu Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo(NW HVUM) Kwa kweli hapa mimi sijaelewa gari moja kuwa na plate number mbili! mmmmmh au ndio utaratibu mpya umeanzishwa mimi ndie nimepitwa na wakati?...lol...

A Wife is like a TV and A Girlfriend is like a MOBILE.. Do you agree?

A Wife is like a TV

A Girlfriend is like a MOBILE

At home u watch TV, but when u go out u take your MOBILE

No money, u sell the TV, got money u change your MOBILE

Sometimes u enjoy TV, but most of the time you play with your MOBILE

TV is free for life, but for the MOBILE, if you don't pay, the services
will be terminated

TV is big, bulky and most of the time old!
But the MOBILE is cute, slim, curvy and very portable

Operational costs for TV is often acceptable, but for the MOBILE it is
often high and demanding

TV you can control by remote, MOBILE you CANT

Most importantly, MOBILE is a two-way communication (u talk and
listen),but with the TV you MUST watch and listen (whether you want to or not)

Last but not least! TVs don't have viruses, but Mobiles often do.

WEEKEND NJEMA KWENU NINYI NYOTE....

Wednesday, 19 January 2011

DUNIA INA MAMBO!



ukistaajabu ya Musa utayaona ya filauni.....hebu soma hii habari mdau alafu tafakari kimya kimya....lol
Yule jamaa anayejiita Nabii Tito ameibuka na kioja cha kufungulia mwaka 2011.
Tito anayehubiri imani yenye ukakasi katika baa mbalimbali za Jiji la Dar es Salaam, hivi karibuni ametoa kijarida kinachoeleza kuwa ni ruksa kwa akina baba ambao ni waumini wa mahubiri yake ‘kulala’ na wafanyakazi wao wa ndani (mahausigeli).

Katika nukuu za kijarida hicho, Tito anatoa mfano kutoka Kitabu cha Mwanzo cha Biblia kuwa, Mtumishi wa Mungu Abraham alizaa mtoto wa kiume, Ishimaeli (Ismail) na kijakazi wake Ajili.

Aidha, katika kijarida hicho, Tito anasema kuwa akina baba kuwaacha mahausigeli wao ni dhambi mbele za Mungu na kusisitiza kwamba, lazima wapewe haki yao kama alivyofanya Abraham.

Kwa mujibu wa watu waliokisoma kijarida hicho anachouza shilingi za Kitanzania 1,000wamemponda Tito kwa mahubiri hayo kuwa ni ya upotoshaji huku wakitoa tahadhari kwamba akiachwa anaweza kuiharibu nchi.

Mwaka jana, Tito alitoa kijarida kingine kinachoruhusu watu kunywa pombe na wanaume kuoa mke zaidi ya mmoja, mahubiri hayo yalilaaniwa vikali na watu wanaomwamini Mungu.

Cha kushangaza mtu huyo hakukamatwa na badala yake anapeta kwenye mabaa akieneza mahubiri hayo yanayolaaniwa kila kukicha na viongozi wa dini.
Chanzo Global publishers.

Tuesday, 18 January 2011

WACHAGA SIYO WAVIVU WA KUFIKIRI!

THIS IS NOT A STORY BUT A TRUE INCIDENT THAT HAPPENED IN DAR ES SALAAM!

CHAGGA man walks into a Barclays Bank in DAR ES SALAAM City and asks for the Loan Officer. He tells the Loan Officer that he is going to DUBAI on business for four weeks and needs to borrow Tshs 150,000.

The bank officer tells him that the bank will need some form of security for the loan, so the CHAGGA man hands over the keys to a brand new Mercedes Benz class 500 parked on the street in front of the bank.

He produces the title and everything checks out. The loan officer agrees to accept the car ascollateral for the loan. The bank's president and its officers all enjoy a good laugh at the CHAGGA for using a TSH 255 Million Mercedes Benz ascollateral against a TSH 150,000 loan.

An employee of the bank then drives the Mercedes Benz into the bank's underground garage and parks it there. Four weeks later, the CHAGGA returns, repays the TSH 150,000 and the interest, which comes to TSH 15,000.

The loan officer says, 'Sir, we are very happy to have had your business, and this transaction has worked out very nicely but we are a little puzzled. While you were away, we checked you out and found that you are a multi millionaire.

What puzzles us is, why would you bother to borrow 'TSH 150,000' The CHAGGA replies: 'Where else in DAR ES SALAAM can I park my car for four weeks for only TSH 15,000 and expect it to be safe and intact when I return???'' Ah, the mind of the CHAGGA ...
source global....

Sunday, 16 January 2011

LOVELY WEEKEND!

DIRTY SITUATION FT AKON..


BUMPRIDE

While enyoying your weekend,listen to these two tracks from MOHOMBI,DIRTY SITUATION AND BUMP RIDE.I bet you gonna love it....
Mohombi was born to a Swedish mother and Congolese father,Mwenyewe anapenda kujiita AFROWIKING...Jumapili njema kwenu woooote.

Saturday, 15 January 2011

Vyanzo vyetu vya maji.....

Maji safi ni muhimu kwa kila Binadamu.
Picha hizi zinaonyesha hali halisi ya upatikanaji wa maji katika Vijiji viwili,Solya na Kilimatinde huko Manyoni Mashariki,Singida.
Mashine za Serikali hazifanyi kazi tena kutokana na ubovu, hivyo watu binafsi wamewekeza za kwao na kuchaji shilingi 100 kwa Ndoo moja ya lita 20

Source: Habari na Picha kutoka kwa Mdau Baby Bosco....




Friday, 14 January 2011

BRAND NEW TRACK FROM AY FT MS TRINITI! GOOD LOOK!

AY FT MS TRINITI:

GOOOOOO! AY make TANZANIA proud,wasanii wawili kutoka Tanzania AY NA CPWAA walipata nafasi ya kufanya featuring na mwanamuziki wa kimataifa kutoka Jamaika MS TRINITI alipokuwa Tanzania.

Huyu ni Cpwaa akishirikiana na MS TRINITI,ACTION.

Mdau! who do you think did it best? mmmmh binafsi naona kama ya AY iko very danceable zaidi.....AY you make my body shake boy.
All in all they all did great job.......

MWAKA UMEANZA VIBAYA KWA WABRAZIL!


Zaidi ya watu 500 sasa wamekufa kufuatia mafuriko makubwa kusini-mashariki mwa Brazil, na kufanya tukio hilo kuwa janga la asili lililoleta madhara makubwa katika historia ya nchi hiyo.

Mvua kubwa zilizonyesha zimesababisha maporomoko ya matope kuelekea katika miji kadhaa, ambako maelfu ya watu wamekimbia makazi yao.

Polisi nchini humo imesema idadi ya watu waliokufa inaweza kuongezeka zaidi.

Waokoaji wamekuwa wakijitahidi kutafuta watu walionusurika katika maene ya vijiji vya mbali vinavyofikika kwa shida.

Idadi hiyo ya vifo sasa imezidi idadi ya vifo vilivyotokea kwa maporomoko ya matope huko Caraguatatuba mjini Sao Paulo mwaka 1957, ambapo watu 430 walifariki.

Wakati huo huo, nchini Australia katika mji wa tatu kwa ukubwa wa Brisbane, shughuli za kuusafisha mji huo kuondoa matope na vifusi zimeanza baada ya mafuriko kupungua.

Kwa kadri kina cha maji kinavyopungua wakazi wa mji huo wanaanza kuona hali halisi ya uharibifu, ambapo mali zaidi ya 30,000 zimeharibiwa.

Hata hivyo Idara ya Utabiri wa Hali ya Hewa imetahadharisha kuwa bado ipo hatari ya kutokea vimbunga.

Thursday, 13 January 2011

MWANZO WA MWISHO WA MICHANGO MIKUBWA YA SHEREHE

Naunga Mkono,wewe je?

From: Donath Olomi olomi@yahoo.com

Subject: MWANZO WA MWISHO WA MICHANGO MIKUBWA YA SHEREHE

Nimekuwa nafuatilia jinsi desturi ya kuchangia na kufanya sherehe kubwa inavyozidi kushika kasi, ikipelekea ule wigo wa kuomba michango kupanuka kiasi kwamba sasa hata mtu ambaye jina lako halijui vizuri anaweza kukuomba mchango.

Aidha michango na sherehe hizi zimekuwa mzigo mkubwa sana kwa baadhi ya watu, ikiwa ni pamoja na wale wenye kipato kidogo wanaochangiwa na kulazimika kulipa michango hiyo kwa miaka mingi. Je, wajua kuwa kuna familia ambazo zimefikia kulazimisha ndugu wauze mashamba au mifugo mtaji ili kupata fedha za kuchangia sherehe?. Je, wajua kuwa kuna watu ambao zaidi ya nusu ya kipato chao wanatumia kuchangia sherehe na huku wakishindwa kulipia huduma muhimu kama shule, matibabu, lishe, nk. Na kuwa wakati mwingine wewe au mimi (au wengine kama mimi na wewe) ndio wenyeviti na makatibu wa sherehe hiyo?. Na ni sisi tunaoona fahari ya kutumia milioni 30 au zaidi kwenye sherehe usiku mmoja?.

Kuna kijana mmoja jamaa yetu juzi juzi alipata shule Australia akawa anatafuta mchango wa dola 5,000 aende. Alipata 2,000 na amwekwama kwenda. Mwaka kesho akisema anaoa tutamchangia milioni 15-20!!!. Hii si hadithi, ni ukweli, na ni kielelezo cha ulimbukeni tuliofikia.

Siku za karibuni nimetambua kuwa kuna kundi kubwa tu linasikitishwa na huu mwenendo, na hata kutambua kuwa tunaweza kuwa tunaandikiwa dhambi kubwa (na hukumu yatusubiri) kwa jinsi wengi wetu tunashindwa kusaidia mambo ya msingi lakini tunakuwa wepesi kutoa kwenye sherehe. Wengi wanaamini kuwa tumeshatumbukia kwenye lindi la mazoea ambapo hatuwezi kujitoa mpaka upepo uje ubadilike wenyewe!.

Mimi nafikiri wasomi tuna jukumu muhimu la kuwa chachu ya mabadiliko pale ambapo mazoea yenye madhara yanavuka mipaka na kuweza hata kuwa chanzo cha ufukara na kuviza maendeleo.

Ili kubadilisha hili jambo, lazima tuanzie mahali. Mimi napendeleza na kuanza kutekeleza. Kuanzia Januari 2011, nitapunguza michango ninayotoa. Nitatoa tu kwa mtu wa karibu sana , na nitachanga kidogo. Usishangae nikakuchangia 20,000/= kama ulitegemea 50,000/= kwa mfano. Kuanzia July 2011, nitaacha kabisa kuchangia sherehe. Badala yake nitakuwa nachangia elimu pale ambapo mzazi hayupo au mhusika kweli hana uwezo na pia nitachangia miradi mingine ya jamii na maendeleo.

Je waniunga mkono? Kama ndiyo sambaza huu ujumbe kwa mtandao wako.

Dr. D.R.Olomi

Box 35036 Dar es Salaam , Tanzania

NICKI MINAJ COVERS V MAGAZINE !


Nicki Minaj is known for rocking bizarre outfits and crazy, multi-colored wigs…….however the Young Money femcee decided to keep it simple on the cover of the latest edition of V Magazine.

The rapper also recently sat down with E! Online for a quick interview where she talked about her new music video with Rihanna, her favorite artists outside of Hip-Hop, working with her Pop counterpart Lady Gaga and more.

You just shot the music video for your next single “Moment 4 Life,” featuring Drake. What are you working on next?

We’re shooting the video with Rihanna for “Fly” this weekend. We’re going to save the world in more ways than one with the video and that’s all I can say about that… I love Ri-Ri! I mean, when she’s not grabbing my ass she’s a sweet girl.

Who are some of your favorite artists outside of hip hop?

I like everyone. I don’t listen to music based on genre. Like, I’ll hear a song and then I’ll live for that song for like months and I’ll be like, “Who the hell is that?” I listen to Taylor Swift. I like Coldplay. I listen to gospel a lot. I listen to anything that’s just beautiful music.

Would you do a song with Taylor?

Of course!

Personally, I think you should do a song with Lady Gaga, who you’ve been compared to in the past.

A lot of people say that to me! I’d definitely be open to it, yeah… I mean, Gaga is badass. Being compared to greats can never bother me.

What does all your success mean to you?

I’m proud that women, female rappers that come in this game after Nicki Minaj can see that, you know what? There is a chance for you to sell just as much as the boys and to be recognized. And you don’t have to feel like, because you’re a female rapper, you going to not be recognized. And so for that alone, I’m proud. I’m happy.

Lastly, are you single?

Yes. I’m single and ready to mingle [laughs].

And this is my favourite track from Nicki Minaj....Massive Attack ft Sean Garrett.
Mdau do you think she is Next Lady Gaga? heheee let`s wait and see.

Wednesday, 12 January 2011

Ha! Kumbe achumani ni mbwa!

Kuna jamaa mmoja alikwenda Mikoa ya Kusini, kwa bahati mbaya alichelewa usafiri na kufika usiku. Kwa vile Watanzania ni watu wa amani, aliamua kuomba msaada nyumba ya jirani ili kesho atafute wenyeji wake.

Alifika katika nyumba ya Mmakonde mmoja, alipobisha hodi, alikaribishwa vizuri sana. Bahati mbaya alikuta wamemaliza chakula, lakini mwenyeji wake alimueleza.

“Chamaani ngeni tumemalija chakula, lakini kipo chakula cha achumani (mbwa)”
“Kama kipo nipeni,” alisema bila kujua achumani ni mbwa, yeye alihisi ni Athumani mtu.

Aliletewa chakula cha mbwa na kukila chote, baada ya kunywa maji alimshukuru Mungu kisha akasema:
“Jamani mleteni Athumani nimshukuru.”

Baada ya muda lililetwa bonge la mbwa na kusimamishwa mbele yake.
“Haya chacha mchukuru achumani.”
“Huyu si mbwa?” Jamaa alishtuka.

“Ndiyo, ndiye achumani mwenyewe nchukuru chacha.”
Jamaa alitamani kutapika.

Monday, 10 January 2011

HUU NI UONEVU ULIOPITILIZA!

Mgambo wakimsurubisha mama mfanya biashara ndogondogo......uonevu huu mpaka lini jamani?
Masikini mama wa watu......


Watanzania si kila jambo lazima tutumie mabavu ili tuweze kulitatua, kuna mambo mengine wala hayahitaji nguvu.....najiuliza ni kosa gani kubwa huyu mama amefanya mpaka astahili adhabu hii? ameiba? hapana, ameua? hapana.... kosa lake ni kufanya biashara eneo ambalo limepigwa marufuku...sioni uwiano wa adhabu aliyopewa na kosa lake. Itafikia kipindi watu watachoka huu uonevu na wataamua kujichukulia sheria mikononi........Mungu ibariki Tanzania.

Sunday, 9 January 2011

BEAUTIFUL DAY!


God have Mercy on us, what a beautiful day.....

Nikitembea kwa makini ukifanya mchezo unakula mueleka bila kupenda.....
Hali ya hewa ya leo kwa kweli ilikuwa inaridhisha, licha ya kuwa ilikuwa +1 tuu, but it`s better than -15....lol...

Saturday, 8 January 2011

RAIS BARACK OBAMA APONGEZA ONGEZO LA AJIRA MAREKANI!!!



Rais Barack Obama.
Ajira ni moja ya ahadi ambazo Rais Obama aliahidi wakati wa kampeni zake,na ahadi hiyo imeonekana kutimizwa kwa kiasi fulani.
Rais Barack Obama wa Marekani amepongeza mwelekeo wa kuongezeka kwa ajira nchini humo na kutoa wito kwa wafanya biashara kuongeza uwekezaji.

Wito huo ameutoa kufuatia kiwango cha wasio na ajira nchini Marekani kupungua kwa pointi 0.4 hadi kufikia asilimia 9.4 mwezi Disemba mwaka jana, ambacho ni kiwango kikubwa kupungua kwa mwezi mmoja tangu mwaka 1998.

Idara ya Ajira nchini humo imesema nafasi za ajira 103,000 zilitengenezwa mwezi uliopita, japo idara hiyo imesema kiwango hicho ni chini ya makadirio yao.

Friday, 7 January 2011

IJUMAA NJEMA!

Tunawatakia mwanzo mwema wa weekend,kushoto ni mama mzaa chema, katikati nahisi nitakuwa mimi, kulia ni mama yangu mzazi siku ya Kitchen party yangu.
We wish you all lovely weekend.....

Tuesday, 4 January 2011

HATARI!

Hapa ni buguruni karibu na Tazara nilishangaa kuona watu wakifanya biashara katikati ya Reli tena bila hata wasiwasi, sasa sijui treni likija huwa inakuwaje,pia sina hakika kama hilo ni eneo halali kwa biashara.....na kama siyo askari wa jiji wako wapi? au wao ni kariakoo tu?
Na je akigongwa mtu hapa ni nani wa kulaumiwa? unaweza ukajiuliza maswali mengi na majibu usipate.....Ama kweli bongo ni tambarare.

Willow Smith Performs Whip My Hair On New Years Eve!.


She is the future Beyonce or Rihanna.....hongera kabinti.

Monday, 3 January 2011

ICE BAR IN STOCKHOLM.....

Chilling in the ICE BAR ....
Baada ya kazi unaweza pitia hapa na mashost zako mkapiga story mbili tatu
Hii Bar ipo Stockholm Sweden,kila kitu kimetengenezwa kwa barafu kuanzia viti,meza na Bar yenyewe...Ni bar ya msimu yaani hujengwa wakati wa winter tu. Pana baridi asikwambie mtu ila wana makoti maalumu kwaajili ya kupunguza makali ya baridi,na ili uweze kuihimili baridi unatakiwa kunywa mapombe makalii, sasa kama wewe ni mwenzangu na mimi nenda kashangaeshangae tu dakika mbili alafu uondoke zako vinginevyo baridi litakumaliza....Ni pazuri kweli nasikia pia wana hotel na Restaurant.
Wenzetu kila walichonacho wanakitumia kwa manufaa,wangepewa jua wangezalisha umeme sisi mmmmmmh.

Sunday, 2 January 2011

Saturday, 1 January 2011

Mkesha wa mwaka mpya Mysore





Vijana wa Kitanzania waliopo Mysore wakiupokea mwaka mpya kwa furaha...