Pages

Subscribe:

Ads 468x60px

Friday, 25 February 2011

MSOSI AT CHINESE RESTAURANT.

linda, Edna na Sunit (marafiki) tukipata msosi wa kichina china....
Yam yam these people can cook jamani heee...

YOTE NJAA!


Mama akijitafutia ridhiki yake...huo ujumbe hapo juu umenifanya nijiulize maswali mengi.Hivi kwanini watu tunafanya kazi? je tunafanya kazi kwa ajili ya tumbo? na kungekuwa hakuna kula je tusingefanya kazi? unalolote lakuongezea? karibu.....
WEEKEND NJEMA WAUNGWANA.

MAANDAMANO LIBYA: GADDAFI AMTUPIA LAWAMA OSAMA BIN LADEN..!!!


Majeshi yanayomuunga mkono kiongozi wa Libya Kanali Muammar Gaddafi yameshambulia waasi wanaoishikilia baadhi ya miji karibu na mji mkuu wa Tripoli, huku kukiwa hakuna ishara kuwa majeshi hayo yameweza kuvunja msukumo wa wapinzani kupata ushindi.

Akitoa wito wa kusitishwa kwa vurugu, Kanali Gaddafi ametupa lawama kwa kiongozi wa kundi la Al- Qaeda Bw. Osama bin Laden kuhusiana na uasi nchini Libya, akisema maandamano yanayoendelea yanachochewa na watu wanaotoa fedha pamoja na dawa za kulevya.

Katika mji wa Benghazi ambako uasi ulianzia hali watu wamekuwa wakisheherekea ushindi katika mji huo huku wanasesere waliotengenezwa kwa mfano wa Gaddafi pamoja na familia yake wananing’inia katika nguzo za taa za barabarani, na watu wamekuwa wakiimba kauli mbiu na kufyatua risasi hewani.

Afisa mmoja wa ngazi za juu wa Ufaransa anayehusika na masuala ya haki za binadamu amesema kuwa huenda kiasi cha hadi watu 2,000 wameuawa hadi sasa katika vuguvugu hilo ambalo lilianza mnamo Februari 15 mwaka huu.

Wakati huo huo bei ya mafuta ghafi duniani imepanda hadi kufikia dola 120 kwa pipa, ikiwa ni ongezeko kubwa kabisa tangu mwezi Agosti 2008, kabla ya kushuka tena na kufikia karibu zaidi ya dola 111 kwa pipa kutokana na vurugu za Libya.

Tuesday, 22 February 2011

MAMA MWENYE NYUMBA!


Mapumziko baada ya kupigwa na baridi...Maana ukiwa nje unatamani upae ili ufike nyumbani haraka....LOL.

Monday, 21 February 2011

UKISTAAJABU YA MUSA…………………………!!!

-AKAMATWA NA POLISI KENYA KWA KUMLAWITI BABA YAKE.

Polisi nchini Kenya imemkamata kijana mmoja anayetuhumiwa kumdhalilisha baba yake anayeumwa katika eneo la Taita-Taveta.

Kijana huyo mwenye umri wa miaka 27 anatuhumiwa kumlawiti baba yake anayelala tu kitandani kufuatia maradhi katika kijiji cha Wesu divisheni ya Wundayi kwa kipindi muda wa miaka tisa, tukio ambalo limekuwa likitokea bila kutaarifiwa.

Polisi na Maafisa Afya wamesema baba huyo mwenye umri wa miaka 61 amekuwa akisumbuliwa na ugonjwa wa kiharusi na mara kwa mara amekuwa akipatiwa matibabu katika hospitali ya wilaya ya Wesu.

Mama wa mtuhumiwa huyo amesema amelazimika kukimbia nyumba yao kwa hofu ya kuuawa na mtuhumiwa huyo.

Mama huyo amesema mara nyingi amekuwa akikimbia nyumbani hapo kufuatia mtuhumiwa huyo kutishia kumuua yeye pamoja na ndugu zake iwapo wangethubutu kutoa taarifa wa vyombo husika.

Polisi walipata taarifa za kufanyika vitendo hivyo kutoka kwa baba huyo mwenyewe wakati walipokutana katika hospitali hiyo.
Chanzo Mo blog.

Saturday, 19 February 2011

LOVELY WEEKEND TO YOU ALL OUT THERE!


Nawatakia kila lililo la heri wapenzi wote wa kibaraza hiki katika mwisho wa juma hili.Burudika na T.I.D.

PIA NAPENDA KUWAPA POLE MAJERUHI NA WALE WOTE WALIOPOTEZA WAPENDWA WAO KATIKA AJALI YA MABOMU ILIYOTOKEA GONGO LA MBOTO DAR ES SALAAM.
MUNGU NA AWAPE NGUVU KATIKA KIPINDI HIKI KIGUMU....

Wednesday, 16 February 2011

California Teen Building Brighter Future for Tanzanian Villagers


At just 16, Lily Gordon has already undertaken several projects to improve lives in a village in Africa.

It's hard to believe she's only 16. While most 16-year-olds are focused on getting their driver's licenses, Lily Gordon is focused on beating hunger in Tanzania. When I visited her family home in Berkeley, Calif., I immediately knew she was no ordinary teenager. As her father answered the door, Lily was in the kitchen cooking a delicious chicken dinner for her parents and the Go Inspire Go volunteer crew.

Lily's compassion developed at an early age. She showed signs of social awareness even at 10 years old. After learning about Africa and hearing about the starving children in Tanzania from a classmate, she wanted to help. For her 11th birthday, instead of presents, she asked her friends to donate money to help build a water pipe for a Tanzanian school.

"The idea of getting 25 more puzzles didn't seem as enchanting as the idea of being able to give kids water," Lily explained. She and her friends raised nearly $2,000 — more than Lily had ever imagined. When she was 12, another milestone, Lily took her first visit to Tanzania. She was struck by the beauty of the country, but even more affected by the inner beauty of the people.

"Being really immersed in the culture and seeing the people, I guess it made me want to help even more, just because I felt really connected to them and I felt they gave so much to me and were so welcoming to me even though they had so much less than me," Lily said.


What they lacked the most was food — a devastating part of their existence Lily witnessed first hand at the hospital. "Malnutrition is just part of the existence there almost. The bloated bellies, they're all very small for their age."

Lily learned that bread is imported to villages from big cities several hours away, but it's often rotten by the time it arrives. She came up with an idea that would save lives. When she returned home to California, she poured her heart into fundraising and learning how to build a brick oven to empower the villagers to make their own bread. The next year, she returned to Tanzania with this mission to build a new future with the villagers. The brick oven now feeds 200 orphans.

Last summer, during Lily's third trip, Lily, her family and her friends also built a rainwater harvest system to make clean water for the orphans. This summer, she plans to teach the villagers how to make their own smaller adobe ovens and a community garden to become self-sustaining.

"I feel like everyone needs to find something that really provides them with fulfillment and for me, this was it," Lily said. "I'm so lucky I found it when I was young, but I feel like if anyone got the joy that I received from just being with these people, working together to do what we could, then there's no way they would've turned down the opportunity."

She's half my age, but she's already embarked on a life lesson that I only realized a couple of years ago. I was privileged enough to volunteer in Jakarta, Indonesia, working with orphans and impoverished children on a digital photo project. Through the camera lens, they revealed a side of Jakarta — and of themselves — that broke through the language barrier. They showed me the slums in which they grew up, filled with tin-roofed shacks and mountains of trash. They showed me photos of their families, friends and the important people in their lives. They showed me their aspirations and hopes for a better future.

Like Lily, my life has been transformed because of this volunteer experience and the people I met. And you, too, can give while taking your own journey to other parts of the world. Leaving your comfort zone and putting your own needs on the back burner to build a brick oven for a village in Tanzania, or teach English to children in Thailand or clean up the earthquake-ravaged neighborhoods of Haiti, can open your eyes and your heart to a wealth of appreciation of your own life and your loved ones.

Tuesday, 15 February 2011

LIE - VALENTINE'S DAY FROM HELL!!!


Hahaaa nimecheka hadi basi,kuna watu wasanii jamani duuuuh.....

Monday, 14 February 2011

KIBOKO YA WAPENDA KUGELEZEA!


Hii mbinu ya kukomesha wagelezeaji imenikumbusha mbali sana, enzi hizo mtu ukigelezea unagelezea hadi nukta.Alafu wakikugundua wewe unapenda kupiga chabo wanajaza majibu ya uongo wanakuachia ukopi kwanza ukimaliza wanabadilisha majibu. matokeo yakitoka unaibuka na sifuri alafu unaanza kulalamika haiwezekani mimi nipate zero,sababu unaamini yule uliyemgelezea yeye ni mtu wakupata A kila siku....Unakuja umbuka pale unapoona matokeo ya yule uliyemgelezea kapata A.... hahaaa tumetoka mbali.

Friday, 11 February 2011

WINTER STRIKE AGAIN!


Yaani snow inayomwagika leo hapa Stockholm utafikiri ndio kwanza winter inaanza.I got stuck home i can`t go no where today....hakuna cha bus wala train leo...nipo nashangaa shangaa sijui hata cha kufanya.

Tuesday, 8 February 2011

SHERIA ZIMEWEKWA ILI ZIVUNJWE?


Watanzania kwa kuvunja sheria tumebarikiwa....Mambo yetu kinyumenyumeee.Haya ona hao walipoegesha magari yao wakati wanaona kabisa mbele yao kuna bango linalozuia tena kwa maandishi makubwa...

Reality Show - Growing Up African (Trip to Tanzania)



Due to the growing demand and popularity of the hit reality show "Growing Up African" there have been several inquiries pertaining to television access.

Growing Up African has become a huge success in several countries including the United States and U.K through the internet especially on their youtube channel.
In order to translate this success to the general public especially those in Tanzania, the cast have chosen to take a direct approach.

In a statement released by the family, Johnson the oldest son will be traveling to Dar es salaam for the month of February.
On this trip, he will meet with several executives from the entertainment and television realm in order to make the show available to the average person.

At the current moment, internet based entertainment is only vastly avalaible to those overseas. The purpose of this trip is to select a host television network for the reality show so it can become available to a much wider audience throughout East Africa.


Please visit the youtube channel to view the new episodes and previews of the show from 2011.

http://www.youtube.com/watch?v=hDMuRCjGsZU

http://www.youtube.com/watch?v=kQ2TWtTQZK0

http://www.youtube.com/watch?v=u7nNLZpNbUs

http://www.youtube.com/watch?v=NzTsLr8Tn9g

Monday, 7 February 2011

HATARIIIIII!


Haaaa! najaribu kujiuliza maswali majibu sipati...hivi huyo anayekojoa alikuwa anafikiria nini? na huyo anayenawa hakuona kama maji anayonawa yamekojolewa? Alafu ni watu wazima wangekuwa watoto ningesema huenda hawajui walitendalo.... Maradhi mengine huwa tunajitakia sisi wenyewe tena kwa makusudi.

Thursday, 3 February 2011

YUPO KAZINI USIMSUMBUE!


Huu mtindo wa kuiba mafuta kwa staili hii umeenea sana bongo,huwa wanategea magari yakiwa kwenye foleni ndio waanze kuiba.Jamani hata kama ni utafutaji wa ridhiki kwa staili hii ni hatari sana.Sijui huwa wanajiamini nini....lol.

Tuesday, 1 February 2011

BAJAJI,

Wabongo kwa kutunga majina? nilishangaa nilipoambiwa aina hii ya viatu inaitwa bajaji, mmmmh mimi ninavyojua Bajaji ni aina ya usafiri ambao upo kama baiskeli au pikipiki,sasa sijui hivi viatu vinauhusiano gani. Alafu jamani hivi viatu sivinafanana na vile vya miaka ya nyuma ambavyo vilikuwa vikiitwa utanikoma saa nane? hahaaa i had these kind of shoes, jua lile la saa nane likikolea viatu vinakuwa vya motoo hapo sasa utatamani ardhi ipasuke.

Hii ndio bajaji yenywewe sasa.....sasa jamani kuna uhusiano wowote hapa?
Kama mdau unafahamu kuhusu hili tuambizane basi .


IS 2011 FOR AFRICA?


Economist Razia Khan (head of African research for Standard Chartered Bank)

CNN: How do you see the outlook for Africa in 2011? What are some of the key things you look for?

Razia Khan: Generally it is positive -- our belief at Standard Chartered is that trend growth in Africa will continue to recover. Of course, after the global economic crisis in 2009 we saw better rates of growth in 2010, but not yet back to trend.
In 2011 there is a chance that we will get that much closer to those pre-crisis trend growth rates. We were looking at 6% to 7% growth rate in a number of frontier market economies -- that is the key expectation.
Of course there are risks to this scenario -- there has been a lot of press about the rise in food prices; we are looking with a special concern in East Africa and potentially adverse weather conditions that may prove to be a setback to growth.
Of course, political risks have featured very strongly at the start of the year as well -- but assuming all goes well, we are seeing good, sound growth prospects in a number of economies.

CNN: What are you basing that kind of optimism on?

RK: Part of it is that Africa's growth momentum was doing pretty well even before the crisis. Yes, we saw an interruption with the global economic crisis, no question about that, but Africa has come out of the crisis a lot better than many had expected.
Part of it has to do with the amount of leverage in the system -- a lot of it has to do with China and the strength of China and of course the support that has given to commodity prices.

CNN: How have China and Asia helped in the recovery in Africa?


RK: We have seen very imbalanced growth in the wake of the crisis. We've continued to see a recovery in Asia, most Asian emerging markets not only making good in the losses associated with the crisis, but seeing real growth, real value addition beyond that.
That, of course, has been a key support for Africa, although Europe, mostly the core of the Euro area, remains the key trading partner for Africa. We've seen great trade gains with the rest of the world -- especially developing Asia, especially China, and that has been a big source to African economies' performance.

CNN: 2011 is a big year for elections in Africa -- to what extent do you think politics is going to be a real key factor this year?


RK: Just in case anyone thought the environment was more benign for whatever reason, the events in Cote d'Ivoire have certainly acted as some sort of wake-up call.
Of course, we have the big events happening early on in the new year -- the referendum in Southern Sudan, this is going to be watched very closely. Political risks haven't gone away -- we could see a reshaping of the East African landscape. It's how the political players react to whatever emerges from that referendum that is going to be key to economic prospects.
And then, of course, in West Africa, in Nigeria, in April, another very important election, the passage of which could be a key driver of investor confidence -- local investor confidence initially, foreign investor confidence in time. There are these big political events that are going to be closely watched.

CNN: For the average person who wants to invest in Africa, what kind of advice would you give them?


RK: There are still very good growth prospects in Africa. One of the successes, of course, is that we hadn't seen negative growth across the region as a result of the crisis. Yes, a contraction in one or two economies -- South Africa being more exposed to the global economy, a few of the mining economies -- but in general, most African countries managed to sustain some kind of positive growth and those growth rates are picking up.