Nimevutiwa sana na hili gauni la Monalisa alilovaa siku ya kilimanjaro music Awards na jinsi rangi za bendera ya Tanzania zilivyochanganywa na kutengeneza gauni.....Ulipendeza sana mdada. Tuesday, 29 March 2011
UBUNIFU WA HALI YA JUU.
Nimevutiwa sana na hili gauni la Monalisa alilovaa siku ya kilimanjaro music Awards na jinsi rangi za bendera ya Tanzania zilivyochanganywa na kutengeneza gauni.....Ulipendeza sana mdada. BARACK OBAMA ATETEA UVAMIZI DHIDI YA LIBYA........
Rais Barack Obama wa Marekani ameielezea operesheni ya kijeshi ya Odyssey New Dawn inayoendelea nchini Libya kuwa ni sehemu ya harakati zinazoenda sanjari na matakwa ya kitaifa ya nchi yake. Rais obama amesisitiza kuwa endapo hatua za kijeshi zisingechukuliwa, ingekuwa ni doa kubwa katika dhamira ya ulimwengu.
Ameeleza kuwa Jumuiya ya Kujihami ya NATO itaanza kutimiza rasmi majukumu yake nchini Libya hapo kesho Jumatano. Hata hivyo Rais Obama ameahidi kuwa operesheni hiyo itachukua muda mfupi zaidi na gharama zake zitakuwa chache ikilinganishwa na vita vya Iraq.
Kauli hizo zimetolewa muda mfupi kabla ya kikao cha kimataifa kitakacholijadili suala la Libya kuanza mjini London. Mkutano huo utawaleta pamoja wawakilishi wa mataifa 35
WAKATI HUOHUO
Waasi wanaendelea na mashambulio yao yanayoelekea eneo la magharibi la Sirte anakotokea Kiongozi wa Libya Muammar Gaddafi.
KATIKA HATUA NYINGINE
Wanachama wa Global Pan African Movement leo wanafanya maandamano ya amani wakipinga vitendo vya mataifa ya magharibi dhidi ya mgogoro wa Libya.
Akizungumza na waandishi wa habari katibu Mkuu wa Global Pan African Movement Stephen Othieno amesema uvamizi dhidi ya Afrika lazima usitishwe na mataifa ya Afrika lazima yasimame kidete na kupinga hali hiyo. Ameongeza kuwa hawata kaa kimya huku ndugu zetu nchini Libya wakiuawa.
Amesema maandamano hayo yatakayofanyika Pan African Square yanalenga katika kuonyesha ulimwengu kuwa kinachofanywa na mataifa ya magharibi dhidi ya Afrika hakiwezi kukubalika.
Credit to mo blog.com
Sunday, 27 March 2011
Bracket - Muah Muah
Jumapili njema na pia nawatakia mwanzo mwema wa wiki..
Samahani kwa kupotea sikumbili tatu....ni vijimambo vya hapa na pale ndivyo vilivyonifanya nikapotea.
ONE REASON OF WHY AFRICA IS 25 YEARS BEHIND THE DEVELOPED WORLD…!!!
Abdoulaye Wade ( Senegal )- age 83
Hosni Mubarak ( Egypt ) – age 82
Robert Mugabe ( Zimbabwe ) – age 86
Hifikepunye Pohamba ( Namibia ) – age 74
Rupiah Banda ( Zambia ) – age 73
Mwai Kibaki ( Kenya ) – age 71
Ellen Johnson Sirleaf ( Liberia ) – age 75
Colonel Gaddafi ( Libya ) – age 68
Jacob Zuma ( South Africa ) – age 68
Bingu Wa Mtalika (Malawi) – age 76
John Evans Atta-Mills (Ghana) – age 67
Nkosi Ruth (Johannesburg) – not sure Average Age:75.6 *****
THE FIRST WORLD
Barrack Obama ( USA ) – age 48
David Cameron ( UK ) – age 43
Dimitri Medvedev ( Russia ) – age 45
Stephen Harper ( Canada ) – age 51
Julia Gillard ( Australia ) – age 49
Nicolas Sarkozy ( France ) – age 55
Luis Zapatero ( Spain ) – age 49
Jose Socrates ( Portugal ) – age 53
Angela Merkel ( Germany ) – age 56
Herman Van Rompuy ( Belgium ) – age 62
Average Age: =====51.1
DIFFERENCE 25 years HOW DO WE MOVE FORWARD WITH THIS OLD SQUAD?!!
Credit to mo blog.
Tuesday, 22 March 2011
PADRI WA KANISA KATOLIKI ASHAURI WATANZANIA KUJIULIZA MASWALI 4 KABLA YA KWENDA LOLIONDO…!!!

Kiongozi wa Kanisa Katoliki Tanzania Kadinali Pengo.
Kiongozi mmoja wa kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam alielezea msimamo wa kanisa Katoliki kuhusu tiba ya Loliondo inayotolewa na Mchungaji Ambikile Mwaisapile kuwa kabla mtu yeyote hajapata tiba hiyo lazima ajiulize maswali manne kwanza kabla ya kuamua kuitumia.
Akihutubia katika Ibada ya Jumapili katika Kigango cha Mt. Yohane wa Msalaba Parokia ya Mbezi Luis, Paroko wa parokia hiyo Padri Pengo alisema, “Sina chuki wala tatizo lolote na tiba ya Loliondo, lakini kama unataka kwenda lazima ujiulize maswali manne yafuatayo.
“Kwanza, tiba inayotokana na miujiza ya Mungu lazima iwe endelevu isiwepo kwa kipindi kifupi tu,” alisema.
Swali la pili alilotaka watu wajiulize ni kuwa tiba inayokuja kama muujiza kutoka kwa Mungu huwa na masharti? Swali la tatu alilolitaja Paroko huyo ambaye ni Padre wa Shirika la Wakalmeli ni kuwa, Kama tiba hiyo inafanyakazi ndani ya Loliondo, kwanini isifanyekazi Dar es Salaam na kwingineko?
Na swali lake la mwisho alilotaka watu wajiulize kuhusu tiba hiyo ya magonjwa sugu ukiwemo UKIMWI ni je, Mungu aliwaumba wanadamu na kisha kuamua kuwaangamiza? Au wanadamu wanaangamia kutokana na vitendo vyao vya ujanja ujanja?
“Ukiisha jiuliza maswali hayo na kujiridhisha kwa majibu utakayopata unawea kufanya maamuzi ya kwenda Loliondo. Hivyo ukiliona basi limeegeshwa katika stendi ya Mbezi au mahali pengine na ukasikia wapigadebe wanaita Loliondo Loliondo Loliondo, basi panda ukapate kikombe cha Babu,” aliongeza kusema.
Katika siku za hivi karibuni Mchungaji Mwaisapile ameutikisa Ulimwengu baada ya kutangaza kuwa anatibu magonjwa sugu kwa kutoa dozi ya kikombe kimoja cha dawa ya kienyeji kwa gharama ya shilingi 500/ kwa Watanzania na Tsh 1,000/= kwa wageni.
Viongozi mbalimbali wa siasa na dini wakiwemo maaskofu wa madhehebu ya Kikristo wamekuwa wakitoa ushuhuda wa ukweli wa tiba hiyo na kuwashauri wananchi wenye magonjwa sugu kwenda kijijini Samonge mkoani Arusha kupata tiba.Hata hivyo kwa upande mwingine baadhi ya viongozi wa makanisa hayo akiwemo Askofu Zakaria Kakobe wa kanisa la FGBF na Mchungaji Christopher Mtikila wamekuwa wakiipinga vikali tiba hiyo.
Monday, 21 March 2011
HAPPY BIRTHDAY TO MIMI.
Siku kama ya leo miaka kadhaa iliyopita,nilizaliwa mimi.Shukrani zangu za dhati ziwaendee wazazi wangu kwa kunilea na kunivumilia kwa yote...Wadogo zangu kwa kuwa sambamba na mimi kila nilipohitaji msaada wao.Pia Mume wangu mpenzi kwa kunifariji kila ninapokuwa na huzuni.Bila kuwasahau wasomaji wangu wa STRIVE FOR LIFE.
GOD BLESS YOU ALL.
Saturday, 19 March 2011
Friday, 18 March 2011
Tuesday, 15 March 2011
Michael Jackson - Liberian Girl !
"Nakupenda pia nakutaka pia mpenzi wee",waooh kiswahili ndani ya nyumba.
Daima tutakukumbuka Michael.Hakuna kama wewe na kamwe hata tokea.
WE WILL ALWAYS LOVE YOU.
Monday, 14 March 2011
Reality Show "GROWING UP AFRICAN" signs long term deal with East Africa Television (EATV)
Since last year, people have been buzzing and talking about this new reality show that just transcends several barriers.
"Growing Up African" was an idea based upon a Tanzanian family. In this family are five siblings and a mother but their struggles,
personalities and attitudes can reflect the lives of any African household.
The family started out with their concept through internet based feedback primarily blogs & youtube in October 2010. Through the
support of blogs like yours they were able to garner enough support to breakthrough as a viable reality show. At the beginning of 2011
the family sent the producer of the show (Johnson Lujwangana) to Dar es salaam to speak with various tv networks.
Upon his arrival in Dar es salaam with the guidance of manager Herry Nasser, the concept received an overwhelming response.
People in East Africa love watching reality tv and shows like The Kardishians have been a focal point.
"Growing Up African" is unlike any other reality show presented because now the people of East Africa can relate to who they see.
It took hard work and convincing for EATV execs to foster the show onto their weekly program but everyone is excited.
Currently on air there are promos running for the next couple of weeks through radio and television.
http://www.youtube.com/watch?v=89z1Fs1cvWk&feature=player_embedded
http://www.youtube.com/watch?v=YmKnMa-8ouM&feature=player_embedded
The show will premier on Friday, March 25th, 2011 at 9:30pm in East Africa on EATV Channel 5.
Thank you to everyone who has supported the show so far and it's just the beginning.
In our eyes the blogging community created this show from the start and we look forward to listening to your comments & advise.
WWW.GROWINGUPAFRICAN.COM
For any further discussions please reach:
Herry Nasser - East Africa Manager
Mobile: +255 652 909311 Email: herryab@yahoo.com
Johnson Lujwangana through email at growingupafrican@gmail.com
TAARIFA KUHUSU USALAMA WA WATANZANIA WANAOISHI JAPANI…!!!
Kumekuwa na wasiwasi mkubwa kwa Watanzania walio na ndugu, jamaa na marafiki nchini Japani juu ya usalama wao unaotokana na kutokea kwa majanga makubwa ya tetemeko la ardhi na Tsunami.
Uongozi wa Jumuiya ya Watanzania Wanaoishi Nchini Japani (Tanzanite Society) kwa kushirikiana na mtandao wa Watanzania wanaoishi nchini Japani (wanatija), pamoja na ofisi zetu za ubalozi hapa Japani tunapenda kuchukua fursa kuwataarifu kuwa mpaka sasa tumeweza kuthibitisha kuwa karibu watanzania wote wako salama. Taarifa hii inamaanisha kuwa hatujapata taarifa zozote za Watanzania walioathirika na janga hili mpaka sasa zaidi ya uharibifu wa mali kutokana na tetemeko na tsunami. Tumeweza kuthibitisha kuwa watanzania walioko Fukushima na Sendai (maeneo yaliothirika zaidi) wote wako salama.
Tutaendelea kutoa taarifa kwa kadri tutakapokuwa tunapata habari mpya.
Kwa wale ambao wangependa kupata taarifa za ndungu zao tafadhali wasiliana nasi kwa kutumia anuani:chairman@tanzanitesociety.jp.
Utakapotuandikia tafadhali tupe taarifa zifutazo kama unazifahamu: Jina kamili, mji anaoishi na namba yake ya simu au anunai yake. Unaweza pia kutupa namba yako ili tuweze kukutaarifu kwa haraka.
Ahsanteni.
Uongozi.
Jumuiya ya Watanzania Wanaoishi Nchini Japani.
Saturday, 12 March 2011
HONGERA SANA KWA KUGRADUATE TABITHA!

We are all happy for you....

Of course lil bro naye alikuwepo kushuhudia dada yake akila nondo yake...Yeye yupo mlimani mwaka wa tatu akichukua shahada ya uhandishi wa umeme.(ELECTRICAL ENGINEERING)nawapenda sana lets our parents be proud of us.

Akiwa na rafiki yake mpezi Catherine...
Nawatakia kila lililo la heri katika safari yenu mpya ya maisha.
Friday, 11 March 2011
Nelly feat Kelly Rowland - Gone.
Miaka kadhaa iliyopita Nelly pamaoja na Kelly Rowland walishirikiana na kutengeneza wimbo wa DILEMMA.Ulivuma sanaa,sasa wamerudi tena na kuimba pamoja song liitwalo GONE.
Ipi imemfunika mwanzake? GONE au DILEMMA?
NAWATAKIA WEEKEND NJEMA.
Thursday, 10 March 2011
AOA MBWA KUONDOA LAANA…!!! DUUUH DUNIA INA MAMBO.

Mwanaume mmoja katika jimbo la kusini la Tamil Nadu nchini India amefunga ndoa na mbwa wa kike katika harusi ya kitamaduni kwa lengo la kuondoa nuksi na laana.
Mtu huyo Selvakumar ambaye ni mkulima alifikia hatua hiyo ili kufuta uwezekano way eye kupata laana au kutokewa na jambo baya baada ya kuwapiga mawe hadi kufa mbwa wawili miaka 15 iliyopita.
Amesema anaamini kitendo alichokifanya kilimsababishia laana na amekuwa akipata mateso tangu wakati huo, ikiwemo kupooza miguu na mikono, kutosikia katika sikio moja na kushindwa kuongea vizuri.
Baada ya madaktari kushindwa kumpa matibabu kwa matatizo yaliyokuwa na mkabili, Selvakumar likwenda kwa mtaalam wa kusoma nyota ambaye alimwambia anasumbuliwa na laana ya wale mbwa aliowaua.
Mtaalamu huyo alimueleza kuwa hataweza kuepukana na matatizo yanayomsumbua hadi atakapo muoa na kuishi na mbwa ndipo laana hiyo itampitia mbali.
Kufuatia maelekezo hayo familia yake ilimtafutia mbwa wa kike aitwaye Selvi ambaye aliogeshwa na kuvishwa nguo kwa ajili ya harusi hiyo.
Tuesday, 8 March 2011
HAPPY WOMEN`S DAY!
MAMA
MIMI

MY SWEET LIL SIS...
Iam so proud of being a woman and having loving and devoted mother,she is such a wonderful woman that i cant even explain....SHE IS MY HERO...
HAPPY WOMEN`S DAY, to all women in the World and All STRIVE FOR LIFE READERS.....
WOMEN ARE GREAT HUMAN BEINGS, WITHOUT WOMEN THERE IS NO WORLD NO HAPPINESS.
TUPENDANE, TUHESHIMIANE NA TUSAIDIANE.
Sunday, 6 March 2011
Thursday, 3 March 2011
HABARI NJEMA KWA WAHAMIAJI HARAMU SWEDEN.RUKSA KUSOMA BURE NA KUFANYA BIASHARA,..

Mashariti ya kuja Sweden yatalegezwa pia,hivyo ukitaka kuja Sweden itakuwa kama kwenda kariakoo,,,owiiiii what a great news...Ila nahisi wanalao jambo...Ayway lets wait and see.
Illegal immigrants in Sweden should in future have the right to government-funded healthcare and education, and be able to start their own companies, the government has agreed.
The move follows long negotiations between the smaller governing parties (the Centre, Liberal and Christian Democrat parties) who have long argued for more rights for undocumented migrants, and the Moderate Party, which has opposed the idea.
The Moderates have argued that giving such entitlements would legitimize people who have no right to be in Sweden.
The parties say there are still a number of questions to resolve, including the issue of who will pay for illegal immigrants' healthcare or the kind of care and education to which they will be entitled.
Social Affairs Minister and Christian Democrat leader Göran Hägglund said the changes would cost "a few hundred million kronor" per year, but added:
"Compared with the total cost of healthcare, that's nothing."
Education Minister and Liberal leader Jan Björklund said he hoped that the children of illegal immigrants would be able to start attending Swedish schools from 2012, adding that his preliminary calculations suggested that this would cost taxpayers 50-100 million kronor per academic year. He said this compared to the total cost of 100 billion kronor for running Sweden's compulsory schooling.
Centre Party leader and Industry Minister Maud Olofsson said that the deal would also allow illegal immigrants to start companies:
The minority government will need support from at least one opposition party to pass the measures. Olofsson said she hoped the Green Party would support the moves, despite not having been involved in negotiations. A parliamentary vote is not expected until early 2012.
Tuesday, 1 March 2011
6 QUESTIONS TO ASK IN A JOB INTERVIEW…!!!

We’ve rounded up the six best questions to ask in your next job interview, as suggested by our panel of experts, which can help you get a better idea of whether the position is right for you and perhaps even impress the interviewer in the process.
1.What do you really enjoy about working here?
When you step into an interview, it’s important to remember that the person conducting the interview isn’t just there to intimidate you; he or she is also your window into the company. And with this question, you can tactfully get a better sense of how the interviewer — and perhaps employees in general — feel about the company you may one day call home.
“The answer to this question as well as the tone of the answer will provide critical insights as to how happy and supported employees feel at the organization,” Levit said.
If you want to take this question one step further, Tory Johnson, founder of WomenForHire.com, suggests rewording it to ask what one thing the interviewer would change about the company if he or she could. “This is a way of asking, ‘What’s wrong with this place?’ without being so direct,” she said.
2.What are your goals for the company in the next year?
Much of the interview itself will likely be devoted to the specifics of your position and your qualifications for it, so it’s a good idea to break out of that pattern when possible to get a sense of the big picture.
According to Levit, this particular question can give you a better sense of “how your position fits into the company as a whole, and more broadly, about whether the company is a good place to work.”
3.What skills do I need to have most to help the team?
Trunk emphasizes that the best questions one can ask are the ones that show you care about teamwork, bottom line results and know how to manage yourself in a group. With this particular question, you accomplish all of those points and can get better a sense of what will be expected of you once you start working.
If I were hired, what would you like to see me achieve in my first three to six months on the job?
As with the previous question, this one will help you get a better sense of how you’ll be judged in your new career.
“It’s important to understand expectations from the get-go,” Levit said. “This is especially true if you are being hired for a management position.”
4.Why is this position vacant?
It may sound like an off-putting question at first blush, but according to Johnson, it’s essential.
“It’s important to know whether the position is vacant because someone was promoted from within, or the job is newly created because of growth or if it’s a vacant because of high turnover,” she said. “Don’t wait until getting hired to discover you’re the sixth person in three months to occupy the seat.”
Indeed, this question could lead to others and prove to be the most profitable exchange you have in the interview.
“Many times a position is vacant because the previous person wasn’t right for the job. You’ll want to explore why through follow-up questions like, ‘If you could have changed something about that person, what would it have been?’ This line of questioning will absolutely make you more memorable to the interviewer,” she said.
5.Do you have any reservations in hiring me?
If all your questions have been answered, Trunk recommends ending the interview with this powerful line.
“Just have some self-confidence and say, ‘No, I don’t have any questions, but I’ve learned a lot here and I know this is a great job for me. Do you have any reservations in hiring me?’” she said. “It forces the hiring manager to tell you what reservations they do have, and gives you an opportunity to combat them.”
6.What Not to Ask
For all the questions you should ask during an interview, there are many more that you should generally avoid asking.
“Don’t ask them questions about what you want out of the job — money, advancement opportunities — it just comes off as selfish,” said Challenger, the consulting firm CEO. Likewise, Trunk recommends holding off on asking about vacation days and salaries.
Credit to mo blog...



