Tuesday, 31 May 2011
VUVUZELA1
Pale mke anapoifanya nyumba mume aione kituo cha poilisi kwa ajili ya kelele zisizo na msingi....Ukiachwa unaanza kulalamika wakati umejitakia mwenyewe.
Msikilize baba Levo akilalamika juu ya mke wake VUVUZELA.
KIKOMBE NDANI YA SINGIDA.
HIVI VIKOMBE SASA IMEKUWA KAMA FASHION , KILA KUKICHA WATU WANASEMA WAMEOTESHWA KUTOA TIBA YA VIKOMBE.......
SOMA HABARI HII.
Baadhi ya wagonjwa waliokunywa kikombe kwa Babu wa kijiji cha Samunge wilayani Loliondo ambao hawakupona, wameanza kumiminika kwa mwanafunzi wa kidato cha tatu mkoani Singida Zubeda Nassoro (19) ambaye anadai kuoteshwa kutoa tiba ya kikombe kwa wagonjwa wenye magonjwa sugu.Zubeda ambaye alikuwa kidato cha tatu katika shule ya sekondari ya kata ya Mungumaji Manispaa ya Singida, hajaenda shule toka Machi 19 mwaka jana baada ya kuanza kuugua magonjwa ya ajabu ajabu.
Amedai hali hiyo ya kuugua ugua, ilipelekea kuoteshwa tiba ya magonjwa sugu ambayo ni magome ya mti wa mwembe, anayodai kutibu magonjwa ya Ukimwi, Kisukari, Kifafa na Kifua Kikuu.
Akizungumza na wananchi Zubeda alisema kati ya wagonjwa 1,200 waliofika kwake kupata kikombe, walimweleza kuwa wamewahi kunywa kikombe kwa Babu mchungaji Mstaafu Ambilikile Mwasapila lakini hawajapona.
Alipoulizwa kama anayo majina au idadi ya wagonjwa hao na makazi yao yapo wapi, alijibu “Kwa kweli sijaona umuhimu wowote wa kuorodhesha majina ya wagonjwa wanaofika kwangu, wakiwemo waliotoka kwa Babu Loliondo”.
Hata hivyo amesema wagonjwa hao waliopata kikombe Loliondo, wametoka mkoa wa Arusha, Mara na sehemu mbali mbali za mkoa wa Singida, huku idadi ya wagonjwa ikizidi kuongezeka na kufikia wagonjwa kati ya 40 na 50 wanaopata kikombe kila siku.
Zubeda amesema wagonjwa wengi tu wamerudi na kutoa ushuhuda kuwa baada ya kupata kikombe, wameishapona maradhi yaliyokuwa yanawasumbua, japokuwa hao waliotoa ushuhuda huo pia hana idadi yake wala majina yao .
Katika hatua nyingine Zubeda ametumia fursa hiyo kukanusha uvumi ulioenea kuwa amehamisha shughuli zake na kuzipeleka mkoani Arusha.
Amedai kuwa atendelea kutoa tiba kutoka nyumbani kwao hadi hapo atakapojenga kituo maalum hivi karibuni kijijini kwao.
Amenukuliwa akisema “Serikali ya kijiji chetu imekwishanipa eneo la kujenga kituo hicho ambacho kitatumika kutolea tiba na kulaza baadhi ya wagonjwa”.
Aidha, ameiomba serikali wilayani Singida, impatie ulinzi kwa madai kuwa kuna vijana wameanza kufika nyumbani kwao na wana dalili zote za ujambazi.
Kuhusu kuendelea na masomo yake, Zubeda amesema uongozi wa shule ya sekondari ya kata ya Mungumaji, wamemwagiza kwamba ni lazima arudi shuleni Julai mwaka huu bila kukosa.
“Kwa kweli ninavyojiona mimi, sidhani kama ninaweza kuendelea na masomo, nadhani itakuwa ngumu mno, hebu tusubiri kwanza tuone huo mwezi wa saba itakuwaje”,alisema.
Kuhusu dawa yake kufanyiwa utafiti na wataalam kama inafaa kwa matumizi ya binadamu, Zubeda amesema wapo watafiti/wataalam kutoka wilayani ambao walichukua dawa yake kwenda kuifanyia utafiti, lakini hadi sasa majibu ya utafiti huo hayajatolewa.
Zubeda mtoto wa kwanza wa Nassor Hamisi Ghumpi, anatoa tiba ya kikombe kwa gharama ya shilingi 1,100/=, ikiwa shilingi 500/= ni za wahudumu wanaotafuta magome ya mti wa mwembe, 500/= zingine ni ya mtoa huduma na shilingi 100/= inayobaki ndio ya kwake yeye mganga.
Thursday, 26 May 2011
KAMA VILE WANASEMA.........
Mvulana:Unajua mimi nakupenda sana wewe?
Msichana:mmmh najua mpenzi....
Mvulana:Nimeshawambia wazazi wangu tukisha maliza tu shule nakuchukua jumla.
Msichana:Mmmmh kweli mpenzi? maana warembo wako wengi huwezi badilika kweli wewe?
Mvulana:Aaaah wapi! wewe ni wangu wa kufa na kuzikana.Na ole wake nione kidume chochote kinakunyemelea, kipondo nitakachompa atajuta kuzaliwa.
Mdau ukiwa shule ulishawahi mpenda msichana/mvulana na mkaahidiana kuoana baada ya masomo? na je hiyo ahadi yenu ilitimia?
TANZANIA KUSHIRIKIANA NA SWIDENI KUPITIA UTAMADUNI KWANJIA YA TEKNOLOJIA.
Ushirikiano kati ya Programu ya Kiswidishi ya Teknolojia ya Taarifa na Mawasiliano ICT inayo ratibiwa na Idara ya Komputa ya Chuo kikuu cha Stockholm Sweden SPIDER kwa kushirikiana na Makumbusho na Nyumba ya Utamaduni umetajwa kusaidia ukusanyaji na utunzaji na matumizi ya urithi wa utamaduni wa Mtanzania.
sehemu ya ukumbi wa maonesho wa makumbusho na nyumba ya utamaduni
Makubaliano ya ushirikiano huo yamefikiwa kati ya uongozi wa Chuo Kikuu cha SPIDER uliowakilishwa na Mkurugenzi wa SPIDER, DK PAULA UIMON na Mkurugenzi wa Makumbusho na Nyumba ya Utamaduni DK PAUL MSEMWA leo hii jijini Dar es Salaam.
Akizungumza mara baada ya makubaliano hayo Mkurugenzi wa SPIEDER DK UIMON amesema amefurahishwa na jitihada za uongozi wa Makumbusho na Nyumba ya Utamaduni chini ya Rais JAKAYA KIKWETE kwa kusimamia vyema mradi mkubwa wa shirika hilo na kwamba ushirikiano huu utawanufaisha wanachi wa Sweden na Tanzania.
Kwa upande wake Mkurugeni wa Makumbusho na Nyumba ya Utamaduni DK PAUL MSEMWA amesema ushirikiano huo umekuja wakati muafaka ambapo shirika limejipanga kutoa elimu zaidi elimu ya Afya, Utamaduni na Sayansi kwa jamii.
Wednesday, 25 May 2011
NURU IS BAAAAAACK!
.
Anaitwa Nuru akimshirikisha Mr.Chocolate Flavour(Bob Junior)wmbo unaitwa MUHOGO.Binafsi nimependa idear nzima ya nyimbo na video pia.
GO GO GO GIRL! KEEP ON SHINING.
Anaitwa Nuru akimshirikisha Mr.Chocolate Flavour(Bob Junior)wmbo unaitwa MUHOGO.Binafsi nimependa idear nzima ya nyimbo na video pia.
GO GO GO GIRL! KEEP ON SHINING.
Tuesday, 24 May 2011
KISWAHILI.
Usahihi ni: Hapauzwi. Utatapeliwa.
Lipo tatizo kubwa kwa baadhi ya watu wa makabila fulani nchini Tanzania kuhusiana na matumizi ya herufi, 'R' na 'L' au 'H' na 'U' katika matamshi na hata kwenye maandishi. Pia, wapo wale ambao hushindwa kutofautisha kati ya herufi 'S' na 'Z' au 'P' na 'B' ama 'V' na 'F' na 'DH' na 'Z' na kadhalika.
Ingawaje kwa maneno mengine huwa si rahisi kupoteza maana kusudiwa, makosa hayo bado huweza kuleta maana tofauti kabisa na iliyokusudiwa, hasa kwa mgeni au mwanafunzi wa lugha ya Kiswahili.
Kwa mfano, neno 'ukiri' ni tofauti na neno 'ukili' au 'karamu' na 'kalamu'. Vile vile 'kazi' ni tofauti na 'kasi' kama ilivyo 'vuma' ikawa tofauti na 'fuma'. Kadhalika, 'barua' ni tofauti na 'parua' ama 'dhana' na 'zana'.
Matumizi yasiyo sahihi ya maneno hayo humlazimisha msomaji kujua maudhui ya habari kwanza ili kuweza kupata maana kusudiwa. Hii si vyema kwa wageni wanaojifunza lugha tunayojisifia kwayo kuwa ni asili yetu.
Credit to wavuti.
Lipo tatizo kubwa kwa baadhi ya watu wa makabila fulani nchini Tanzania kuhusiana na matumizi ya herufi, 'R' na 'L' au 'H' na 'U' katika matamshi na hata kwenye maandishi. Pia, wapo wale ambao hushindwa kutofautisha kati ya herufi 'S' na 'Z' au 'P' na 'B' ama 'V' na 'F' na 'DH' na 'Z' na kadhalika.
Ingawaje kwa maneno mengine huwa si rahisi kupoteza maana kusudiwa, makosa hayo bado huweza kuleta maana tofauti kabisa na iliyokusudiwa, hasa kwa mgeni au mwanafunzi wa lugha ya Kiswahili.
Kwa mfano, neno 'ukiri' ni tofauti na neno 'ukili' au 'karamu' na 'kalamu'. Vile vile 'kazi' ni tofauti na 'kasi' kama ilivyo 'vuma' ikawa tofauti na 'fuma'. Kadhalika, 'barua' ni tofauti na 'parua' ama 'dhana' na 'zana'.
Matumizi yasiyo sahihi ya maneno hayo humlazimisha msomaji kujua maudhui ya habari kwanza ili kuweza kupata maana kusudiwa. Hii si vyema kwa wageni wanaojifunza lugha tunayojisifia kwayo kuwa ni asili yetu.
Credit to wavuti.
Never Lose Hope.
Never Lose Hope
Hope is a precious commodity.
It fuels our drive. It gives us the courage to continue through any struggle.
Hope gives us the desire to face another day, to strive to overcome
it’s challenges and work for new ones.
Hope gives us glimpses of tomorrow, of the possibilities that lie in our future and of the paths we need to travel.
Hope lightens our steps when the road is strewn with obstacles,
and helps us decide on our route.
Hope puts a smile on our face and a glimmer in our eyes.
Hope let’s us see love as it blooms.
Never lose faith in your abilities, trust the instincts you have inside, they will guide you through your journey.
And always have hope.
Always look to the future.
Always believe that the best is out there for you to find.
Never lose your hope.
Never lose the faith you have in who you are.
Because with that faith in yourself, lies the essence of your hope.
HAVE A NICE DAY !!
Friday, 20 May 2011
SHILINGI MIA MOJA KUSAFISHWA MIGUU.
Waswahili wanasema mjini shule,.kila kitu na kila hali yaweza kuzalisha fedha ikiwa tu wateja watapatikana
.Ni akili yako tu.Kijana akiwajibika kumsafisha miguu mteja katika soko la Tandale, gharama yake ni shilingi mia moja (100) kwa miguu yote miwili.
HALALI MTU NJAA HAPA.
Photo credit to Wavuti.
.Ni akili yako tu.Kijana akiwajibika kumsafisha miguu mteja katika soko la Tandale, gharama yake ni shilingi mia moja (100) kwa miguu yote miwili.
HALALI MTU NJAA HAPA.
Photo credit to Wavuti.
Wednesday, 18 May 2011
Jennifer Lopez - I'm Into You ft. Lil Wayne
.Nawatakia siku njema wadau wote....I`m into you.. kutoka kwa Jennifer Lopez ft Lil Wayne ndio dedication yangu kwako kwa siku hii ya leo.
Wanafunzi kutoka nchi mbali mbali wagraduate Mysore,India.
Wanafunzi kutoka nchi 14 wamegraduate kwa pamoja siku ya jumamosi tarehe 14 mwezi wa tano mjini Mysore India.
Wanafunzi hao wanatoka ,Jordan,Yemen,Afighanstan, Iran,Uganda,Kenya,Tanzania,USA,Maldives , Somalia,Tajikstan,Sudan,Ethiopia na China.
Hii ni graduation ya tatu kufanywa kwa pamoja kwa wanafunzi wanaograduate Mysore University kwa kujumuisha mataifa yote yanayosoma Mysore.
Wanafunzi hao wanatoka ,Jordan,Yemen,Afighanstan, Iran,Uganda,Kenya,Tanzania,USA,Maldives , Somalia,Tajikstan,Sudan,Ethiopia na China.
Hii ni graduation ya tatu kufanywa kwa pamoja kwa wanafunzi wanaograduate Mysore University kwa kujumuisha mataifa yote yanayosoma Mysore.
Sunday, 15 May 2011
KAMA UMECHOKA NA KAZI ONDOA STRESS!
Wapenda ligi watatu walibishana kuwa nani
amekubuhu kwa ubishi kati yao . Wakaamua kila mmoja ahadithie ubishi wa haja alomfanyia mkewe ili wapime nani kubobea zaidi kwenye hiyo fani.
Mbishi 1 akasema:
Mi siku moja nilivyokuwa nje ya nchi nilimpigia mke wangu simu usiku akafungua simu hakusema haloo...kudadadeki! na mimi nikakaa kimya sikuongea mpaka alfajiri wakati simu ilikuwa wazi.
Mbishi 2 akatia:
Mbona hiyo cha mtoto, mi siku moja nimerudi home nikagonga mlango mke wangu akaufungua lkn hakusema karibu mume wangu...aliniangalia tu...nikaona analeta madharau! sikuingia ndani nikasimama hapo hapo mlangoni mpaka asubuhi...huyoo nikatimua zangu job.
Mbishi 3 akaunganisha:
Hiyo nayo mbona cha mtoto tu, mi mke wangu tulipooana alikuwa anaona haya kunigusa...ananidengulia eti! na mimi sikumgusa na mpaka leo hatugusani.
Mbishi 1 na 2:
Aaaaaaaah faza! acha usanii, nyie si mna watoto wawili lkn?
Mbishi 3:
Na hao watoto sijamuuliza kawaokota wapi...
kwani mi nataka mchezo!??.
amekubuhu kwa ubishi kati yao . Wakaamua kila mmoja ahadithie ubishi wa haja alomfanyia mkewe ili wapime nani kubobea zaidi kwenye hiyo fani.
Mbishi 1 akasema:
Mi siku moja nilivyokuwa nje ya nchi nilimpigia mke wangu simu usiku akafungua simu hakusema haloo...kudadadeki! na mimi nikakaa kimya sikuongea mpaka alfajiri wakati simu ilikuwa wazi.
Mbishi 2 akatia:
Mbona hiyo cha mtoto, mi siku moja nimerudi home nikagonga mlango mke wangu akaufungua lkn hakusema karibu mume wangu...aliniangalia tu...nikaona analeta madharau! sikuingia ndani nikasimama hapo hapo mlangoni mpaka asubuhi...huyoo nikatimua zangu job.
Mbishi 3 akaunganisha:
Hiyo nayo mbona cha mtoto tu, mi mke wangu tulipooana alikuwa anaona haya kunigusa...ananidengulia eti! na mimi sikumgusa na mpaka leo hatugusani.
Mbishi 1 na 2:
Aaaaaaaah faza! acha usanii, nyie si mna watoto wawili lkn?
Mbishi 3:
Na hao watoto sijamuuliza kawaokota wapi...
kwani mi nataka mchezo!??.
Tuesday, 10 May 2011
Growing Up African cast member directs 1st Music Video (Artist: AJ Ubao Song: Kwaheri)
Directed by Johnson Lujwangana from the cast of Growing Up African set in New York City. Stay tuned for more projects from this up & coming director representing the Tanzanian community.
Sunday, 8 May 2011
HAPPY MOTHER`S DAY!
MY MOM.
Today is your day, enjoy yourself.
Saturday, 7 May 2011
HAVE A LOVELY WEEKEND!
Jamani hali ya hewa ya leo ilikuwa ni nzuri kwelikweli jua liliwaka hadi raha,mwenyewe nikaona nikae nje niote jua maana jua lenyewe la kubip,
Hapa nikaona bora nitoke nikatembee tembee ili nilifaidi jua vizuri.
Nawatakia mwisho wa juma uliomwema wote....
Friday, 6 May 2011
KAZI ISIYO YA MAANA NI IPI?

Hivi kazi ni nini?
na je kuna kazi ya maana na kazi isiyo ya maana?
Binafsi tafsiri yangu ya kazi ni shughuli yoyote iliyo halali na inayokupatia kipato cha kukuwezesha kujikimu kimaisha.
Hivi karibuni kiongozi wa chama cha Social Democrat, Karin Wanngård hapa Sweden amesikika akisema kazi ya uuzaji bidhaa(sales) ni kazi ambayo ni takataka(crap job)watu walimjia juu hatua iliyomfanya aombe msamaha kwa dharau yake. soma zaidi hapo chini...
Social Democrat Karin Wanngård, who will take over after Carin Jämtin as the party's top name in Stockholm City Hall, has landed herself in hot water after calling sales a ‘crap profession’
Wanngård was presented as Jämtin's replacement on Monday and in an article with daily Dagens Nyheter (DN) on Tuesday she made the statement that has since had a whole profession up in arms in Sweden.
“Young people should not be forced into ‘crap professions’ like being a salesperson working on commission,” Wanngård told DN.
The reactions were quick to follow.
“I was horrified, especially when this comes from the Social Democrats who are supposed to be a workers’ party. In society there is need for all types of work, and who am I to decide what is a ‘crap job’ and what isn’t,” Ewa Samuelsson of the Christian Democrats in the city council told daily Expressen.
“All jobs have to be carried out, and all of us started somewhere”, she continued.
"I don't know if Karin Wanngård has ever worked in telephone sales. I don't know if she thinks there are more 'crap jobs' on the Swedish labour market or who should do them. But what is clear is that not everyone can be the head of multinational giant Hewlett Packard, as she was," the political writer Peter Wolodarski wrote in DN.
According to news agency TT, in the wake of reactions Wanngård felt that her statement has been taken out of its context and blown out of proportion.
But she still wanted to apologise for offending people.
“Let me be very clear. There are in reality no ‘crap jobs’. There are no unimportant tasks, no crap tasks. However, there are jobs with crap conditions,” she said on news site Newsmill in reply to the debate that has arisen around her statement.
Sales people have a very important role to play in any company and deserve respect for the function they perform, she added in the article.
“Let me finally once and for all apologize to all the sales people for what they interpreted as a derogatory comment about their profession,” she wrote
UTAFITI : WANAWAKE WA AFRIKA WANAZIDI KUWA WAFUPI…!!!
*NI KADRI MIAKA INAVYOSONGA MBELE
*NI KWA MUJIBU WA UTAFITI WA WATAALAM
*HALI HIYO INATISHIA USTAWI WA VIZAZI VIJAVYO.
Matokeo ya utafiti yaliyotolewa mwezi April mwaka huu yanaonyesha kuwa kwa zaidi ya miaka 40 iliyopita wanawake barani Afrika wamekuwa wakizidi kuwa wafupi.
Katika utafiti ulioitwa “Heights of Nations” uliofanywa na Profesa SV Subramanian wa Chuo cha Afya ya Jamii cha Harvard, imeonekana kuwa wanawake wanaozaliwa Afrika katika kipindi cha miongo miwili iliyopita ni wafupi wakilinganishwa na mama na bibi zao waliozaliwa baada ya Vita ya Pili ya Dunia.
Mchumi John Komlos amesema kuzidi kupungua kwa urefu wa wanawake wa Afrika kunahatarisha ustawi wa kizaji kijacho.
Komlo ameongeza kuwa urefu wa mtu mzima ni kipimo cha ubora wa maisha, kiwango cha baiolojia ya maisha na muda wa kuishi, hivyo urefu unapodumaa kuongezeka au unapoanza kupungua miongoni mwa vizazi ni ishara kuwa mambo yanakwenda kombo.
Profesa Subramanian na timu yake walichunguza urefu kwa wanawake 364,538 wenye umri wa miaka 24 hadi 49 katika mataifa 54 yenye kipato cha chini na cha kati.
Kati ya nchi hizo 54, nchi 14 zilikuwa na wanawake wanaopungua urefu,nchi 21 hazikuwa na mabadiliko na nchi 19 zilikuwa na wanawake wanaoongezeka urefu.
Nchi zote 14 zilizokuwa na wanawake wanaopungua urefu ni za bara la Afrika.
Utafiti huo umeonyesha miongoni mwa nchi za Afrika ni Kenya Na Senegal tu ndizo zilizoonyesha wanawake kuongezeka urefu.
Kenya umekuwa nchi bora barani ya Afrika na imeshika namba 9 miongoni mwa nchi zote 54, ambapo imeonekana wanawake waliozaliwa Kenya miaka 1980’s ni warefu kwa takriba 1.95cm kuliko waliozaliwa miaka ya 1950’s.
Urefu kwa wanawake umedumaa katika nchi 15 za Afrika zikiwemo Uganda, Congo Brazzaville, Lesotho, Zimbabwe, Swaziland, Togo, Ethiopia, Zimbabwe, Cameroon, Burkina Faso, Guinea, Tanzania, Ghana, Gabon na Jamhuri ya Afrika ya Kati (CAR).
Uganda imeshika nafasi ya 16 kwa kufanya vibaya katika urefu wa wanawake kati ya nchi zote 54 huku Tanzania ikiwa ya 26.
Urefu wa wanawake umekuwa ukipungua katika nchi za Rwanda, Zambia, Comoros, Madagascar, Jamhiri ya Kidemokrasi ya Kongo (DRC), Msumbiji, Nigeria, Chad, Namibia, Benin, Liberia, Mali, Niger na Malawi huku umekuwa ukiongezeka katika nchi za Nepal, India na Bangladesh.
Rwanda imeonesha urefu kupungua kwa 4.2cm kati ya wanawake waliozaliwa miaka ya 1950’s na wale waliozaliwa katika miaka ya 1970-80s.
Mmmmh hii nayo imekaaje wadau.
Credit to mo blog.
*NI KWA MUJIBU WA UTAFITI WA WATAALAM
*HALI HIYO INATISHIA USTAWI WA VIZAZI VIJAVYO.
Matokeo ya utafiti yaliyotolewa mwezi April mwaka huu yanaonyesha kuwa kwa zaidi ya miaka 40 iliyopita wanawake barani Afrika wamekuwa wakizidi kuwa wafupi.
Katika utafiti ulioitwa “Heights of Nations” uliofanywa na Profesa SV Subramanian wa Chuo cha Afya ya Jamii cha Harvard, imeonekana kuwa wanawake wanaozaliwa Afrika katika kipindi cha miongo miwili iliyopita ni wafupi wakilinganishwa na mama na bibi zao waliozaliwa baada ya Vita ya Pili ya Dunia.
Mchumi John Komlos amesema kuzidi kupungua kwa urefu wa wanawake wa Afrika kunahatarisha ustawi wa kizaji kijacho.
Komlo ameongeza kuwa urefu wa mtu mzima ni kipimo cha ubora wa maisha, kiwango cha baiolojia ya maisha na muda wa kuishi, hivyo urefu unapodumaa kuongezeka au unapoanza kupungua miongoni mwa vizazi ni ishara kuwa mambo yanakwenda kombo.
Profesa Subramanian na timu yake walichunguza urefu kwa wanawake 364,538 wenye umri wa miaka 24 hadi 49 katika mataifa 54 yenye kipato cha chini na cha kati.
Kati ya nchi hizo 54, nchi 14 zilikuwa na wanawake wanaopungua urefu,nchi 21 hazikuwa na mabadiliko na nchi 19 zilikuwa na wanawake wanaoongezeka urefu.
Nchi zote 14 zilizokuwa na wanawake wanaopungua urefu ni za bara la Afrika.
Utafiti huo umeonyesha miongoni mwa nchi za Afrika ni Kenya Na Senegal tu ndizo zilizoonyesha wanawake kuongezeka urefu.
Kenya umekuwa nchi bora barani ya Afrika na imeshika namba 9 miongoni mwa nchi zote 54, ambapo imeonekana wanawake waliozaliwa Kenya miaka 1980’s ni warefu kwa takriba 1.95cm kuliko waliozaliwa miaka ya 1950’s.
Urefu kwa wanawake umedumaa katika nchi 15 za Afrika zikiwemo Uganda, Congo Brazzaville, Lesotho, Zimbabwe, Swaziland, Togo, Ethiopia, Zimbabwe, Cameroon, Burkina Faso, Guinea, Tanzania, Ghana, Gabon na Jamhuri ya Afrika ya Kati (CAR).
Uganda imeshika nafasi ya 16 kwa kufanya vibaya katika urefu wa wanawake kati ya nchi zote 54 huku Tanzania ikiwa ya 26.
Urefu wa wanawake umekuwa ukipungua katika nchi za Rwanda, Zambia, Comoros, Madagascar, Jamhiri ya Kidemokrasi ya Kongo (DRC), Msumbiji, Nigeria, Chad, Namibia, Benin, Liberia, Mali, Niger na Malawi huku umekuwa ukiongezeka katika nchi za Nepal, India na Bangladesh.
Rwanda imeonesha urefu kupungua kwa 4.2cm kati ya wanawake waliozaliwa miaka ya 1950’s na wale waliozaliwa katika miaka ya 1970-80s.
Mmmmh hii nayo imekaaje wadau.
Credit to mo blog.
Thursday, 5 May 2011
How Students can Get Rid of Exam Worries for Good!


I am pleased to enclose information about an exciting, newly published book that’s targeted to students who are appearing for their exams titled “Winning the Battle”- How to Pass an Exam without Fear. Winning the Battle will be available starting today at the Syrian Exhibition at Diamond Jubilee (Stall No L5). As you’ll see, this 80 page book’s fun and timely approach to Exams will definitely be of interest to your readers. And they will be so pleased that you shared this information with them.
Winning the Battle was written by Huzefa Mohamed, a leading training consultant who has helped hundreds of students to achieve academic and personal excellence. In this book, he shares his unique perspective and advice, plus offers detailed and easy-to-understand strategies relating to passing exams without fear.
Huzefa Mohamed is also currently available for interviews. He’s also a frequent contributor to numerous newspapers and magazines and winner of several regional awards. Review copies are now available on request. If you have any questions about the enclosed information, wish to receive a review copy, or would like to set up an interview, please call me at 0764162527 or e-mail to huzefa@mindtreetz.com . I also invite you to visit the book’s Web site at www.mindtreetz.com
Thank you in advance for your interest.
Respectfully,
Huzefa
Sunday, 1 May 2011
LOVELY WEEKEND TO YOU ALL OUT THERE!
My very special dedication to all my STRIVE FOR LIFE readers.When I Look At You, by Miley Cyrus...
Great Sunday folk.
Subscribe to:
Posts (Atom)










